Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 289

Author: jomushi

Rais Magufuli Avunja Ukimya, Asema Yeye si Nguvu za Soda

Posted on: February 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Magufuli
Rais Magufuli Avunja Ukimya, Asema Yeye si Nguvu za Soda

RAIS wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufulia na Makamu wake, Mama Samia Suluhu wamevunja ukimya jana jijini Dar es Salaam na kusisitiza kuwa kasi ya…

Continue Reading....

Dk Kingwangalla Aipa Hospitali ya Kanda Siku 60 Kununua CT-Scan

Posted on: February 13, 2016 - jomushi
Post Tags: hospitali
Dk Kingwangalla Aipa Hospitali ya Kanda Siku 60 Kununua CT-Scan

NAIBU Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamisi Kingwangalla amefanya ziara, Februari 12, 2016 katika Hospitali ya Kanda…

Continue Reading....

Viongozi wa Msikiti Vingunguti Watuhumiwa Kula Fedha za Ujenzi

Posted on: February 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Ufisadi Msikitini
Viongozi wa Msikiti Vingunguti Watuhumiwa Kula Fedha za Ujenzi

Waumini wa dini ya Kiislam wakizozana nje ya Msikiti wa Masjidi Pelapela uliopo eneo la Mtakuja Vingunguti jijini Dar es Salaam katika swala ya Ijumaa…

Continue Reading....

Kampuni ya Tigo Yatoa Madawati 400 Shule za Msingi Morogoro

Posted on: February 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Madawati
Kampuni ya Tigo Yatoa Madawati 400 Shule za Msingi Morogoro

  Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini Prosper Mbena akimshukuru Mkurugenzi wa tigo kanda ya pwani  Goodluck Charles baada ya hafla ya kukabidhi  msaada wa madawati…

Continue Reading....

Naibu Waziri Mambo ya Ndani Atembelea Makao Makuu Polisi Zanzibar

Posted on: February 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Polisi Zanzibar
Naibu Waziri Mambo ya Ndani Atembelea Makao Makuu Polisi Zanzibar

Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame akizungumza kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Masauni alipofanya ziara katika Jeshi hilo Zanzibar…

Continue Reading....

Mgaya wa TUCTA Azifagilia Sheria za Kazi

Posted on: February 12, 2016 - jomushi
Post Tags: TUCTA
Mgaya wa TUCTA Azifagilia Sheria za Kazi

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi (TUCTA) amezisifia sheria za kazi kwa kuwa zimesaidia kuleta mabadiliko katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari