Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 287

Author: jomushi

Prof Mbarawa Akomalia Mapato Sekta ya Miundombinu Musoma

Posted on: February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Miundombinu
Prof Mbarawa Akomalia Mapato Sekta ya Miundombinu Musoma

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amewataka watendaji walio chini ya Wizara yake kuongeza kasi ya kukusanya mapato ili kuwezesha malengo ya…

Continue Reading....

UN Clubs Tanzania Yasaidia Kituo cha Kulelea Watoto Yatima Kurasini

Posted on: February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Watoto Yatima
UN Clubs Tanzania Yasaidia Kituo cha Kulelea Watoto Yatima Kurasini

Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Stella Vuzo (kulia) akimkabidhi msaada kwa mlezi wa kituo cha kulelea watoto Bi.…

Continue Reading....

Elimu ya Jando, Unyago Vizingatie Umri na Wakati – Naibu Waziri

Posted on: February 15, 2016February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Jando na Unyago
Elimu ya Jando, Unyago Vizingatie Umri na Wakati – Naibu Waziri

Na Shamimu Nyaki MAELEZO NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura amezitaka jamii kutoa elimu ya jando na unyago kwa kuzingatia umri…

Continue Reading....

Waziri Nape Awasimamisha Kazi Watendaji wa TBC

Posted on: February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Watendaji TBC
Waziri Nape Awasimamisha Kazi Watendaji wa TBC

Na Frank Shija, WHUSM WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amewasimamisha kazi watumishi wawili wa Shirika la Utangazaji la Taifa TBC kutokana…

Continue Reading....

Wanachama wa CCM Ilemela Wafunga Ofisi za Wadoki Saccos

Posted on: February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Wanachama CCM
Wanachama wa CCM Ilemela Wafunga Ofisi za Wadoki Saccos

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM, Kata ya Kirumba Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza, leo wamefunga Ofisi ya Taasisi ya Mikopo ya WADOKI (Wadoki Saccos)…

Continue Reading....

Waziri Ummy Aanza ‘Kung’ata’, Awasimamisha Wakurugenzi MSD

Posted on: February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: MSD Tanzania
Waziri Ummy Aanza ‘Kung’ata’, Awasimamisha Wakurugenzi MSD

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO WAZIRI wa Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Ummy Mwalimu amewasimamisha wakurugenzi toka Bohari ya Dawa ya Taifa (MSD)…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari