Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 256

Author: jomushi

Uwanja wa Ndege Kigoma Kujengwa Kimataifa

Posted on: April 2, 2016 - jomushi
Post Tags: Uwanja wa Ndege Kigoma
Uwanja wa Ndege Kigoma Kujengwa Kimataifa

SERIKALI imesema awamu ya pili ya Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma itaanza rasmi Julai mwaka huu. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa…

Continue Reading....

Walionunua Nyumba za NSSF Mtoni Kijichi Watakiwa Kukamilisha Malipo

Posted on: April 2, 2016 - jomushi
Post Tags: Nyumba NSSF
Walionunua Nyumba za NSSF Mtoni Kijichi Watakiwa Kukamilisha Malipo

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof Godius Khyarara ametoa rai kwa wale Wote walionunua nyumba za Mtoni Kijichi kukamilisha malipo ya nyumba…

Continue Reading....

Jeshi la Polisi Laongeza Muda Zoezi la Uhakiki Silaha

Posted on: April 2, 2016 - jomushi
Post Tags: Silaha Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi Laongeza Muda Zoezi la Uhakiki Silaha

Na Dotto Mwaibale JESHI la Polisi nchini limeongeza muda wa miezi mitatu kwa ajili ya kutoa fursa kwa wananchi kuhakiki silaha zao kote nchini. Hayo…

Continue Reading....

Jokate na Mo Dewji Kujenga Uwanja Sekondari ya Jangwani

Posted on: April 2, 2016 - jomushi
Post Tags: Jokate, Sekondari ya Jangwani
Jokate na Mo Dewji Kujenga Uwanja Sekondari ya Jangwani

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani wanataraji kunufaika kwa kupata uwanja wa michezo ambao unajegwa kwa ushirikiano wa Mwanamitindo Jokate Mwegelo na…

Continue Reading....

Ma RC Waagizwa Kutumia Mfumo wa Kieletroniki Kukusanya Mapato

Posted on: April 2, 2016 - jomushi
Post Tags: Wakuu wa Mikoa
Ma RC Waagizwa Kutumia Mfumo wa Kieletroniki Kukusanya Mapato

Na Rebecca Kwandu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), George Simbachawene amewaagiza Wakuu wa Mikoa kuhakikisha wanakusanya…

Continue Reading....

Kibaha Kulipa Fidia kwa Wanaostahili

Posted on: April 1, 2016 - jomushi
Kibaha Kulipa Fidia kwa Wanaostahili

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO Halmashauri ya Mji wa Kibaha Mkoa wa Pwani imeahidi kuwalipa wananchi wanaostahili kulipwa fidia ya ardhi ambayo ilichukuliwa na Serikali kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari