Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 244

Author: jomushi

Serikali Kupunguza Vizuizi Magari Yanayosafiri Nje ya Nchi

Posted on: April 27, 2016 - jomushi
Post Tags: usafiri
Serikali Kupunguza Vizuizi Magari Yanayosafiri Nje ya Nchi

KATIBU Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Injinia Joseph Nyamhanga ametambulisha utaratibu mpya utakaotumika kupunguza vikwazo visivyo vya kiforodha ili kurahisisha…

Continue Reading....

UDOM Waendesha Mdahalo Maadhimisho Miaka 52 ya Muungano

Posted on: April 27, 2016 - jomushi
Post Tags: Muungano
UDOM Waendesha Mdahalo Maadhimisho Miaka 52 ya Muungano

  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Lugimbana akizungumza na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM -UDOMASA), wakati wa mdahalo wa miaka…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Amtumbua Mkurugenzi TCRA na Bodi Yake

Posted on: April 26, 2016 - jomushi
Post Tags: TCRA Tanzania
Rais Dk Magufuli Amtumbua Mkurugenzi TCRA na Bodi Yake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa…

Continue Reading....

Polisi Kilimanjaro Yakamata Shehena Kubwa ya Dawa za Kulevya na Silaha

Posted on: April 26, 2016April 26, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Polisi
Polisi Kilimanjaro Yakamata Shehena Kubwa ya Dawa za Kulevya na Silaha

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, kamishna msaidizi, Wilbroad Mutafungwa akionesha misokoto ya Bhangi iliyokamatwa baada ya wahusika kufanikiwa kuwakimbia askari Polisi.   Kamnad wa…

Continue Reading....

Sherehe Mahafali Kidato cha Sita Sekondari ya Wasichana Weruweru…!

Posted on: April 26, 2016 - jomushi
Post Tags: Mahafali
Sherehe Mahafali Kidato cha Sita Sekondari ya Wasichana Weruweru…!

    Wahitimu wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Wasichana ya Weruweru wakiimba wakati wakielekea ukumbini kwa ajili ya kuanza rasmi kwa…

Continue Reading....

Mmiliki Kampuni ya Lugumi Aibuka, Asema Kama Anakosa Akamatwe…!

Posted on: April 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Polisi
Mmiliki Kampuni ya Lugumi Aibuka, Asema Kama Anakosa Akamatwe…!

MMILIKI wa Kampuni ya LUGUMI ENTERPRISES LTD, Said Lugumi (MD) amejitokeza kuzungumza na wanahabari huku akidai kazi aliyopewa na Jeshi la Polisi ameikamilisha kwa zaidi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari