Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 233

Author: jomushi

Mwanahabari Makongoro Oging’ Aagwa na Kusafirishwa kwa Mazishi…!

Posted on: May 26, 2016 - jomushi
Mwanahabari Makongoro Oging’ Aagwa na Kusafirishwa kwa Mazishi…!

 Picha ya Mwanahabari Makongoro Oging’ enzi za uwai wake.  Mmiliki wa Blog ya Michuzi, Issa Michuzi akitoa heshima za kwa mwili wa marehemu.  Mhariri wa…

Continue Reading....

ESRF Yafanya Semina Kujadili Mpango wa Maendeleo Endelevu…!

Posted on: May 26, 2016May 26, 2016 - jomushi
ESRF Yafanya Semina Kujadili Mpango wa Maendeleo Endelevu…!

Na Rabi Hume KATIKA kusaidia kukamilika kwa Mpango wa Maendeleo Endelevu ambao unataraji kumalizika 2030, Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Kijamii (ESRF) imefanya warsha ambayo…

Continue Reading....

TTCL Yazaliwa Upya, Yazinduwa Nembo Mpya na 4G LTE

Posted on: May 26, 2016 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
TTCL Yazaliwa Upya, Yazinduwa Nembo Mpya na 4G LTE

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imefanya mabadiliko ya nembo yake pamoja na kuzinduwa huduma ya mtandao wa kisasa wa 4G LTE ikiwa ni muendelezo wa…

Continue Reading....

Prof Mbarawa Afungua Kikao cha TEMESA, Akagua Ujenzi Daraja Ruvu Chini

Posted on: May 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Temesa
Prof Mbarawa Afungua Kikao cha TEMESA, Akagua Ujenzi Daraja Ruvu Chini

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, amewataka Watendaji wakuu, Mameneja na Wazalishaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kutumia maarifa…

Continue Reading....

Boti Yapotea na Abiria Ziwa Nyasa…!

Posted on: May 24, 2016 - jomushi
Post Tags: Ajali ya Boti
Boti Yapotea na Abiria Ziwa Nyasa…!

WATU kadhaa wanahofiwa kufa maji baada ya boti iliyokuwa ikifanya safari kutoka Mbamba Bay nchini Tanzania kwenda Nkhata Bay Malawi kuzama Ziwa Nyasa na boti…

Continue Reading....

Yadi ya Mabasi ya UDA Yanusurika Kuteketea kwa Moto

Posted on: May 24, 2016May 24, 2016 - jomushi
Post Tags: Ajali ya Moto
Yadi ya Mabasi ya UDA Yanusurika Kuteketea kwa Moto

YADI ya mabasi ya UDA iliyopo eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam imenusurika kuteketea kwa moto baada nguzo inayosafirisha umeme mkubwa barabarani…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari