Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,304

Author: jomushi

Tanesco wadaiwa tena mamilioni Kenya

Posted on: March 8, 2011March 8, 2011 - jomushi
Tanesco wadaiwa tena mamilioni Kenya

Na Mwandishi Wetu Namanga  LICHA ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kutakiwa kulipa deni la sh. bilioni 94 kwa kampuni ya Dowans ambazo…

Continue Reading....

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein otembelea mashamba ya kilimo

Posted on: March 8, 2011March 8, 2011 - jomushi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein otembelea mashamba ya kilimo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein, akipewa maelezo kutoka kwa Ofisa Mdhamini Pemba wa Wizara ya Kilimo na Mifugo,…

Continue Reading....

Mwananchi alipukiwa na bomu Lindi

Posted on: March 7, 2011 - jomushi
Mwananchi alipukiwa na bomu Lindi

Na Mwandishi Wetu Lindi MKAZI mmoja wa kijiji cha Kitumbikwera mkoani Lindi, Omari Said (29) amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Sokoine akiuguza majeraha aliyoyapata…

Continue Reading....

Wanne wapandishwa kizimbani kwa dawa za kulevya

Posted on: March 7, 2011 - jomushi
Wanne wapandishwa kizimbani kwa dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu RAIA wanne wa mataifa tofauti, jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa kosa la kula njama na kuingiza dawa…

Continue Reading....

Kesi ya mwandishi ‘kuomba rushwa’ yaairishwa

Posted on: March 7, 2011 - jomushi
Kesi ya mwandishi ‘kuomba rushwa’ yaairishwa

Na Mwandishi Wetu KESI inayomkabili mwandishi wa habari ambaye ni mtangazaji wa Shirika la Utangazaji nchini (TBC1),Jerry Muro na wenzake imeshindwa kuendelea leo kutokana na…

Continue Reading....

Dk. Shein: Serikali yangu itafanya mapinduzi ya kilimo

Posted on: March 7, 2011 - jomushi
Dk. Shein: Serikali yangu itafanya mapinduzi ya kilimo

Mwandishi Wetu Pemba RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Awamu ya Saba imepanga kufanya Mapinduzi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari