Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,275

Author: jomushi

Vigogo wanaotaka urais waivuruga CCM Arusha

Posted on: June 5, 2011June 5, 2011 - jomushi
Vigogo wanaotaka urais waivuruga CCM Arusha

Na Janeth Mushi, Thehabari, Arusha KAMATI  ya maadili na usalama  mkoa wa Arusha iliyoshirikisha wajumbe watatu kutoka makao makuu ya CCM na UVCCM  imeelezwa kuwa…

Continue Reading....

Breaking News, Chadema wapigwa mabomu Dar

Posted on: June 5, 2011 - jomushi
Breaking News, Chadema wapigwa mabomu Dar

Na Joachim Mushi, Thehabari, Dar es Salaam TAIFA  ambazo mtandao wa dev.kisakuzi.com umezipata muda huu ni kwamba Polisi wa Kutuliza Ghasia (FFU) Mkoa wa Dar…

Continue Reading....

Dk Slaa atangaza mgomo, ni kufuatia kukamatwa wabunge

Posted on: June 5, 2011June 5, 2011 - jomushi
Dk Slaa atangaza mgomo, ni kufuatia kukamatwa wabunge

*Ni kufuatia kamatakamata ya wabunge wa Chadema akiwemo Mbowe *Asema uvumilivu basi, watu waingie mtaani Na Edson Kamukara KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na…

Continue Reading....

Kikombe kingine chaibuka wilayani Mpanda

Posted on: June 5, 2011 - jomushi
Kikombe kingine chaibuka wilayani Mpanda

Na Mwandishi Wetu, Sumbawanga ULE mtindo wa baadhi ya wa kuibuka na kudai wameotesha na Mungu wakiwa usingizini waje kutoa dawa maarufu kama ‘kikombe’ kwa…

Continue Reading....

Tiba ya babu yaanza kuonesha ‘madhara’

Posted on: June 5, 2011June 5, 2011 - jomushi
Tiba ya babu yaanza kuonesha ‘madhara’

Na Maggid Mjengwa INAYODAIWA kuwa tiba ya Babu wa Loliondo, badala ya kuwa msaada kwa taifa, imeanza kuonyesha madhara zaidi ya kiafya, kijamii na kiuchumi.…

Continue Reading....

Chadema kwachafuka, Mbowe, Zitto wakamatwa

Posted on: June 4, 2011 - jomushi
Chadema kwachafuka, Mbowe, Zitto wakamatwa

Na Mwandishi Wetu KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni aliyekuwa akitakiwa kukamatwa kwa amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya mjini Arusha amekamatwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari