Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,265

Author: jomushi

Rais Kikwete ateta na Dk. Mahathir

Posted on: June 22, 2011 - jomushi
Rais Kikwete ateta na Dk. Mahathir

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Juni 21, 2011, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa zamani…

Continue Reading....

Mama Kikwete akutana na wake za marais Malaysia

Posted on: June 22, 2011June 22, 2011 - jomushi
Mama Kikwete akutana na wake za marais Malaysia

Continue Reading....

Taswa walaani mwandishi wa Tanzania kudhalilishwa DRC

Posted on: June 22, 2011 - jomushi
Taswa walaani mwandishi wa Tanzania kudhalilishwa DRC

CHAMA Cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimesikitishwa na kinalaani tukio lililomkumba mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la JamboLeo, Asha Kigundula…

Continue Reading....

Wanawake wanaotafuta ‘weupe’ kuangamia-TFDA

Posted on: June 22, 2011 - jomushi
Wanawake wanaotafuta ‘weupe’ kuangamia-TFDA

Na Anicetus Mwesa MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imesema maelfu ya Watanzania huenda wakaangamia kwa ugonjwa hatari wa Kansa. Imebainishwa kwamba watakaoangamia ni…

Continue Reading....

Malecela afanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo

Posted on: June 22, 2011 - jomushi
Malecela afanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo

Na Mwandishi wa Thehabari, Dodoma WAZIRI Mkuu mstaafu na mwanasisa maarufu nchini mzee John Malecela amefanyiwa upasuaji wa moyo. Akizungumza mjini hapa jana, Spika wa…

Continue Reading....

CCM yafanya mazungumzo na wapinzani Ujerumani

Posted on: June 22, 2011 - jomushi
CCM yafanya mazungumzo na wapinzani Ujerumani

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari