Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,260

Author: jomushi

Tigo mdhamini mkuu Saba Saba 2011

Posted on: June 28, 2011June 28, 2011 - jomushi
Tigo mdhamini mkuu Saba Saba 2011

KAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Tigo ni mdhamini mkuu wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba ya mwaka huu, yanayotarajia kuanza leo katika…

Continue Reading....

Watendaji SMZ watakiwa kubadilika kiutumishi

Posted on: June 27, 2011 - jomushi
Watendaji SMZ watakiwa kubadilika kiutumishi

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka Watendaji wa Serikali ya Mapinduzi ya…

Continue Reading....

JK atia saini kitabu cha maombolezo kifo cha Chiluba

Posted on: June 27, 2011 - jomushi
JK atia saini kitabu cha maombolezo kifo cha Chiluba

Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo asubuhi ametia saini kitabu cha maombolezo katika ubalozi wa Zambia, kuomboleza kifo cha Dkt. Frederick Chiluba, Rais wa zamani wa…

Continue Reading....

Pinda: Wakuu ya mikoa, wilaya simamieni halmashauri

Posted on: June 27, 2011 - jomushi
Pinda: Wakuu ya mikoa, wilaya simamieni halmashauri

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Wakuu wa Mikoa na wa Wilaya wana wajibu wa kuzisimamia Halmshauri zote nchini kuhakikisha kazi ya kuleta maendeleo na kuondoa…

Continue Reading....

Ali Kiba apata ajali

Posted on: June 27, 2011 - jomushi
Ali Kiba apata ajali

Mororogo MWIMBAJI Ali Kiba na wacheza shoo wake wamenusurika kufa baada ya kupata ajali mbaya katika eneo la Mikumi,wakitokea Mbeya kuelekeaJijini Dar es salaam, kwenye…

Continue Reading....

Mnyika aonesha wasiwasi na kauli ya Pinda

Posted on: June 27, 2011 - jomushi
Mnyika aonesha wasiwasi na kauli ya Pinda

TAREHE 25 na 26 Juni 2011 Vyombo mbalimbali vya habari vimemnukuu Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitangaza kwamba katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari