Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya MaxMalipo ambao wameingia ubia na UDART katika matumizi ya kadi hizo, Mhandisi Juma Rajabu (kulia), akizungumza katika mkutano huo.…
Continue Reading....Author: jomushi
Wanafunzi Chuo Kikuu SMMUCo Watembelea Hifadhi ya Ngorongoro
Simba dume akiwa anaunguruma Na Dickson Mulashani, Ngorongoro SUALA la utalii wa ndani limeonekana kupata mashiko baada ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha…
Continue Reading....CCM Yatangaza Siku ya Kumkabidhi Uenyekiti Rais Magufuli
Na Joachim Mushi, Dar es Salaam CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kimetangaza tarehe ya kumkabidhi rasmi uongozi wa chama, Rais John Pombe Magufuli ikiwa ni…
Continue Reading....Chuo cha Mwalimu Nyerere Chafanya Kongamano la Uadilifu na Utawala Bora
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dk.Lenard Akwilapo akikabidhiwa picha na Mwakilishi Makazi wa Shirika la KAS, Daniel El-Noshokaty ya waasisi…
Continue Reading....Wajasiliamali Wanawake Tanzania Kushirikiana Kibiashara na Comoro
ZIARA ya Kikundi cha Wajasiriamali Wanawake kutoka Tanzania (Tanzania Saccos for Women Enterprenuers) imezaa matunda baada ya kikundi hicho cha kina mama kufanikiwa kuingia…
Continue Reading....