Na Rajab Mkasaba, Pemba RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi Pemba kushirikiana na serikali kupambana na…
Continue Reading....Author: jomushi
Washukiwa wa machafuko ya London kufikishwa mahakamani leo
Ni washukiwa wa kwanza kushtakiwa kwa vifo vilivyotokea wakati wa machafuko ya jijini London. Watu jumla ya watano walikufa kwenye machafuko yaliyoanza Jumamosi iliyopita. Mwanamume…
Continue Reading....Newcastle, Arsenal watoka sare, Bolton yauwa, Leverpool yakwama
NEWCASTLE imetoka sare ya 0-0 na Arsenal katika mchezo uliokuwa na kasoro za hapa na pale. Katika mchezo huo mshambuliaji wa Arsenal kutoka Ivory Coast,…
Continue Reading....Waziri Ngeleja ‘apona’, bajeti yake yapitishwa
Na Mwandishi Wetu, Dodoma. HATIMAYE Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini baada ya kuifanyia marekebisho na kuwasilisha mpango wa dharura wa kuondoa…
Continue Reading....Kikwete: Hakuna Mtanzania ataekufa kwa njaa
Na Mwandishi Maalumu, Shinyanga RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa wilaya nchini kwa maeneo yanayoonesha dalili za uhaba wa chakula kutoa taarifa haraka…
Continue Reading....MUVI kufunga mashine ya kusindika mhogo kijijini Kilosa
Na Mwandishi Wetu, Mbinga UONGOZI wa Muunganisho wa Ujasiriamali Vijijini (MUVI) umekagua jengo ambalo umepanga kuweka mashine ya usindikaji wa zao la mhogo, wilayani Mbinga…
Continue Reading....