Na Mwandishi Wetu, Igunga CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kilikuwa mstari wa mbele katika maandalizi na mazishi ya Peter Ezekiel (12) aliyegongwa na lori mjini…
Continue Reading....Author: jomushi
Rais Kikwete azindua Kamati ya Misaada Kitaifa kwa Somalia
Na Mwandishi maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete leo, Ijumaa, Septemba 2, 2011, amezindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Misaada ya…
Continue Reading....Mbowe amjia juu Mkuchika, adai ukada unamponza!
Na Mwandishi Wetu, Arusha CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshutumu hatua ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (TAMISEMI), George Mkuchika, kumwagiza Mkurugenzi…
Continue Reading....Wanaopinga ubunge wa Lema wampeleka mahakamani
Na Janeth Mushi, Arusha KESI ya kupinga matokeo ya Ubunge dhidi ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), inatarajiwa kuanza kusikilizwa Jumatatu mbele ya…
Continue Reading....Gwaride la ‘FFU’ kuendelea Markt, Steinhude!
FFU wa Ngoma Africa Band wanatarajia kutingisha Jukwaa la Afrika Markt, Steinhude, Ujerumani. Bendi hiyo maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya (Ngoma Africa Band)…
Continue Reading....Polisi Zanzibar yawataka wauza vileo kujilinda wenyewe
Na Mwandishi wa Jeshi la Polisi- Zanzibar JESHI la Polisi Zanzibar limewaagiza wamiliki na wafanyabiashara wa baa visiwani humo kuchukua tahadhari kwa kuweka walinzi imara…
Continue Reading....