Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,170

Author: jomushi

Dk. Bilal awapa changamoto Magavana Afrika

Posted on: September 8, 2011September 8, 2011 - jomushi
Dk. Bilal awapa changamoto Magavana Afrika

Na Janeth Mushi, Arusha NCHI za Afrika zimetakiwa kuziwezesha mamlaka za kitaifa ili ziweze kutoa huduma muhimu kwa jamii kwa kukusanya kodi na matumizi bora…

Continue Reading....

CAG kukagua vocha za kilimo nchi nzima

Posted on: September 8, 2011 - jomushi
CAG kukagua vocha za kilimo nchi nzima

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali nchini (CAG) ameagizwa kufuatilia usambazaji wa vocha za pembejeo nchi nzima ili kubaini kama zinawanufaisha wakulima au la. Agizo…

Continue Reading....

Rais Kikwete kuzindua Uwanja wa Ndege Mpanda

Posted on: September 8, 2011 - jomushi
Rais Kikwete kuzindua Uwanja wa Ndege Mpanda

RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete mwezi Oktoba, 2011 anatarajia kuzindua uwanja wa Ndege wa Mpanda wakati wa mkutano mkubwa wa uwekezaji (Investors’ Forum) wa Kanda…

Continue Reading....

Serikali kutangaza mikoa mipya kesho

Posted on: September 8, 2011September 8, 2011 - jomushi
Serikali kutangaza mikoa mipya kesho

Na Mwandishi Maalumu WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itatoa tangazo rasmi la Serikali (Government Notice) kuhusu uanzishaji wa mikoa mipya na wilaya mpya ambalo…

Continue Reading....

Gaddafi Phone Threat As Home Video Emerges

Posted on: September 8, 2011 - jomushi
Gaddafi Phone Threat As Home Video Emerges

DEPOSED Colonel Muammar Gaddafi has phoned a TV station vowing to defeat opposition forces and Nato – as a home video emerges of him playing…

Continue Reading....

Hali ya hewa yatabiri maafa mvua za vuli

Posted on: September 8, 2011 - jomushi
Hali ya hewa yatabiri maafa mvua za vuli

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetabiri maafa makubwa yakiwamo mafuriko, mmomonyoko wa ardhi na uharibifu wa mazingira katika baadhi ya maeneo wakati wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari