Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,167

Author: jomushi

Kampeni za Chadema Igunga katika picha

Posted on: September 9, 2011September 9, 2011 - jomushi
Kampeni za Chadema Igunga katika picha

KAMPENI za kugombea ubunge Jimbo la Igunga zinaendelea huku vyama vyenye upinzani mkali katika jimbo hilo vya CHADEMA, CCM na CUF vikiendelea kunadi wagombea wao…

Continue Reading....

BAE yakubali kurejesha fedha za Rada Tanzania

Posted on: September 9, 2011 - jomushi
BAE yakubali kurejesha fedha za Rada Tanzania

KAMPUNI ya kutengeneza silaha za Kijeshi ya Uingereza ‘BAE Systems’, hatimaye imekubali kuilipa moja kwa moja Serikali ya Tanzania dola milioni 47. Fedha hizo ni…

Continue Reading....

Chuo Kikuu South Carolina Marekani kushirikiana na Chuo cha Taifa Zanzibar

Posted on: September 9, 2011 - jomushi
Chuo Kikuu South Carolina Marekani kushirikiana na Chuo cha Taifa Zanzibar

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar CHUO Kikuu cha Taifa cha South Carolina kiliopo Marekani, kimesema kitaendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya elimu ikiwa…

Continue Reading....

Ruzuku ya mbegu, mbolea yaanza kuzaa matunda-Kikwete

Posted on: September 9, 2011 - jomushi
Ruzuku ya mbegu, mbolea yaanza kuzaa matunda-Kikwete

Mwandishi Maalumu, Nairobi SERA ya Serikali ya Tanzania kutoa ruzuku ya mbegu na mbolea kwa wakulima wadogo wadogo wa chakula nchini imeanza kuzaa matunda kwa…

Continue Reading....

Mkapa kuanza mashambulizi Igunga leo

Posted on: September 9, 2011 - jomushi
Mkapa kuanza mashambulizi Igunga leo

Na Bashir Nkoromo, Igunga MWENYEKITI mstaafu wa CCM, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa anaunguruma leo mjini hapa atakapohutubia mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM za…

Continue Reading....

Tanzania kuiuzia Kenya tani 10,000 za mahindi

Posted on: September 9, 2011 - jomushi
Tanzania kuiuzia Kenya tani 10,000 za mahindi

Na Mwandishi Maalumu TANZANIA na Kenya zimekubaliana kukomesha biashara ya miaka mingi ya magendo ya chakula kwenye mpaka wa nchi hiyo kwa kuamua kuuziana chakula…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari