Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,165

Author: jomushi

Fainali za Vodacom Miss Tanzania 2011

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
Fainali za Vodacom Miss Tanzania 2011

Continue Reading....

Kufuatia msiba Zanzibar, Kikwete atangaza maombolezo siku 3, akatiza ziara ya Canada na kutembelea majeruhi, aagiza uchunguzi ufanywe

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
Kufuatia msiba Zanzibar, Kikwete atangaza maombolezo siku 3, akatiza ziara ya Canada na kutembelea majeruhi, aagiza uchunguzi ufanywe

Na Mwandishi Maalumu KUFUATIA msiba mkubwa uliotokana na ajali ya kuzama kwa meli ya Spice Islander katika bahari ya Hindi usiku wa kuamkia leo, Jumamosi,…

Continue Reading....

Ajali ya meli Zanzibar; Dk. Shein atangaza msiba wa Taifa, abiria 192 wamekufa, 630 waokolewa

Posted on: September 11, 2011September 11, 2011 - jomushi
Ajali ya meli Zanzibar; Dk. Shein atangaza msiba wa Taifa, abiria 192 wamekufa, 630 waokolewa

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed shein amesema jumla ya watu 106 hadi sasa wamethibitika…

Continue Reading....

Arsene Wenger akiri usajili ulimsumbua

Posted on: September 10, 2011 - jomushi
Arsene Wenger akiri usajili ulimsumbua

ARSENE Wenger amesema alitaabika sana wakati wa msimu huu wa usajili na kuuelezea kuwa ni “usajili ulionisumbua ambao haujawahi kutokea tangu niwasili hapa”. Gunners ilimuuza…

Continue Reading....

JK atuma rambirambi vifo vya wananchi katika ajali ya meli Zanzibar

Posted on: September 10, 2011September 10, 2011 - jomushi
JK atuma rambirambi vifo vya wananchi katika ajali ya meli Zanzibar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,…

Continue Reading....

Ajali ya meli Zanzibar: 163 wahofiwa kufa

Posted on: September 10, 2011September 10, 2011 - jomushi
Ajali ya meli Zanzibar: 163 wahofiwa kufa

WATU wasiopungua 163 wamekufa baada ya meli iliyokuwa imejaa watu na mizigo kuzama katika pwani ya kisiwa cha Unguja. Inadhaniwa kuwa zaidi ya watu 500…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari