Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,134

Author: jomushi

Kikwete akiri nchi iko katika hali ya dharura

Posted on: October 10, 2011 - jomushi
Kikwete akiri nchi iko katika hali ya dharura

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watendaji wa Serikali yake kutambua kuwa nchi iko katika hali ya dharura kubwa…

Continue Reading....

Mkutano Mkuu wa Mwaka wa TASWA Desemba 17, 2011

Posted on: October 10, 2011 - jomushi
Mkutano Mkuu wa Mwaka wa TASWA Desemba 17, 2011

KAMATI ya Utendaji ya TASWA iliyokutana hivi karibuni, ilifikia uamuzi wa mkutano huo ufanyike eneo hilo lililopo Kilometa 37 kutoka katikati ya Jiji la Dar…

Continue Reading....

Uzinduzi wa kinywaji Pilsner Lager cha SBL

Posted on: October 10, 2011October 10, 2011 - jomushi
Uzinduzi wa kinywaji Pilsner Lager cha SBL

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe (wa pili kulia) akigonganisha chupa kuashiria uzinduzi wa kinywaji aina ya Pilsner Lager na Mkurugenzi wa…

Continue Reading....

Msanii Cabo Snoop wa Angola ndani ya Family Day

Posted on: October 10, 2011 - jomushi
Msanii Cabo Snoop wa Angola ndani ya Family Day

Mwanamuziki Cabo Snoop kutoka nchini Angola akifanya vitu vyake jukwaani huku akisasaidiwa na meneja wake kulia wakati wa tamasha la Family Day Bonanza lililofanyika jana…

Continue Reading....

Vodacom foundation yakabidhi madarasa ya mil. 30 Sekondari

Posted on: October 10, 2011 - jomushi
Vodacom foundation yakabidhi madarasa ya mil. 30 Sekondari

Continue Reading....

Vifo vyatokea kwenye maandamano ya wakristo Misri

Posted on: October 10, 2011 - jomushi
Vifo vyatokea kwenye maandamano ya wakristo Misri

AMRI ya kutotoka nje imetangazwa mjini Cairo kufuatia machafuko yaliyotokea wakati wa maandamano yaliyofanywa na wakristo wa dhehebu la Coptic, nchini Misri. Inakadiriwa kuwa takriban…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari