Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,130

Author: jomushi

Mtoto wa Kanali Gaddafi akamatwa

Posted on: October 13, 2011 - jomushi
Mtoto wa Kanali Gaddafi akamatwa

MTOTO wa Muammar Gaddafi aliyekuwa Rais wa Libya aliyeondolewa madarakani kwa nguvu za kijeshi, Muttasim Gaddafi ambaye alifanya kazi kama Mshauri Mkuu wa Usalama wa…

Continue Reading....

Mama Salma Kikwete ataka wazee waenziwe

Posted on: October 12, 2011 - jomushi
Mama Salma Kikwete ataka wazee waenziwe

Na Anna Nkinda – Maelezo, Butiama JAMII nchini imetakiwa kutowadharau, kuwanyanyasa na kuwasahau wazee bali iwaenzi na kuwathamini kwani kupitia kwao itafaidika kwa kujifunza mambo…

Continue Reading....

Mama Kikwete awafunda wahudumu wa afya

Posted on: October 12, 2011 - jomushi
Mama Kikwete awafunda wahudumu wa afya

Na Anna Nkinda – Butiama WAHUDUMU wa Afya nchini wametakiwa kufuata maadili yao ya kazi na kutoa kauli nzuri kwa wagonjwa ili kupunguza malalamiko yanayotolewa…

Continue Reading....

Mradi kabambe wa umeme kujengwa nchini

Posted on: October 12, 2011 - jomushi
Mradi kabambe wa umeme kujengwa nchini

*Utagharimu mabilioni ya fedha *Utaunganisha mikoa yote kwenye Gridi ya Taifa RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatano, Oktoba…

Continue Reading....

Nape asema kuna wana-CCM wanaihujumu CCM

Posted on: October 12, 2011 - jomushi
Nape asema kuna wana-CCM wanaihujumu CCM

Na Mwandishi Wetu, KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema kuna watu ndani ya Chama Cha Mapinduzi ambao…

Continue Reading....

SBL yakabidhi vitabu vya sheria za usalama barabarani

Posted on: October 12, 2011 - jomushi
SBL yakabidhi vitabu vya sheria za usalama barabarani

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti, Teddy Mapunda (wa tatu kulia) akizungumza katika makabidhiano ya vitabu vya Sheria ya Usalama Barabarani katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari