Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,128

Author: jomushi

Ole Sendeka asema CCM isisubiri kuwajibiswa na wananchi

Posted on: October 14, 2011 - jomushi
Ole Sendeka asema CCM isisubiri kuwajibiswa na wananchi

Na Joachim Mushi MBUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Simanjiro, Christopher ole Sendeka amesema CCM isingoje kuwajibishwa na Wananchi bali ihakikishe inawang’oa mafisadi…

Continue Reading....

Mbio za Mwenge kuzindua miradi ya bil. 1.7 Arusha

Posted on: October 14, 2011 - jomushi
Mbio za Mwenge kuzindua miradi ya bil. 1.7 Arusha

Na Janeth Mushi, Arusha MIRADI 11 ya Maendeleo yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 1.7 ambayo imegharamiwa na Serikali Kuu, kwa kushirikiana na halmashauri,…

Continue Reading....

Kumbukizi ya miaka 12 ya kifo cha Nyerere

Posted on: October 14, 2011 - jomushi
Kumbukizi ya miaka 12 ya kifo cha Nyerere

LEO Watanzania wanaadhimisha miaka 12 tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyefariki tarehe kama ya leo mwaka 1999. Nyerere ambaye alikuwa muhimili…

Continue Reading....

Polisi wasaka madaktari waliotekwa Kenya

Posted on: October 14, 2011 - jomushi
Polisi wasaka madaktari waliotekwa Kenya

POLISI wakitumia helikopta na magari wanawasaka watu wenye silaha waliowateka nyara madaktari wawili wa Uhispania wanaofanya kazi na shirika la misaada la Medicins Sans Frontiers…

Continue Reading....

Kikwete ashiriki mazishi ya Mwanahabari Penza

Posted on: October 14, 2011 - jomushi
Kikwete ashiriki mazishi ya Mwanahabari Penza

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Oktoba 13, 2011 aliungana na waombolezaji kumzika mwanahabari mkongwe, Juma Fugame Penza katika makaburi ya Kisutu,…

Continue Reading....

Ikulu yakanusha JK kutoa msamaa wa vifo

Posted on: October 14, 2011 - jomushi
Ikulu yakanusha JK kutoa msamaa wa vifo

*Ni kwa wanaodaiwa kumuua Lut. Generali Kombe Na Mwandishi Wetu GAZETI la Mwananchi, matoleo ya Jumatano, Oktoba 12 na Oktoba 13, 2011, limeandika habari zilizodai…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari