Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,126

Author: jomushi

Upinzani Liberia kuyakataa matokeo ya uchaguzi

Posted on: October 16, 2011October 16, 2011 - jomushi
Upinzani Liberia kuyakataa matokeo ya uchaguzi

Vyama ninane vya upinzani, vikiwemo viwili ambavyo ni wapinzani wakuu wa Rais Ellen Johnson-Sirleaf vimesema kuwa vitayakataa matokeo ya uchaguzi wa urais uliyofanyika wiki hii…

Continue Reading....

Man United yang’ang’aniza sare na Liverpool

Posted on: October 16, 2011 - jomushi
Man United yang’ang’aniza sare na Liverpool

Javier Hernandez aliisawazishia Manchester United zikiwa zimesalia dakika tisa kabla mchezo haujamalizika na kuisaidia timu yake kuambulia angalao pointi moja katika pambano kali dhidi ya…

Continue Reading....

Aston Villa yaipeleka Man City Kileleni

Posted on: October 16, 2011October 16, 2011 - jomushi
Aston Villa yaipeleka Man City Kileleni

Manchester City imetumia mwanya wa Man United kuteleza kwa kwenda kileleni baada ya kuizaba Aston Villa 4-1. Kipa wa Man City, Joe Hart aliokoa mkwaju…

Continue Reading....

Wanakijiji Hanga waacha kuzalisha tumbaku, sasa walima alizeti na mhogo

Posted on: October 16, 2011 - jomushi
Wanakijiji Hanga waacha kuzalisha tumbaku, sasa walima alizeti na mhogo

MUUNGANISHO wa Ujasiriamali Vijijini (MUVI), Ruvuma umefanikiwa kuwavutia zaidi wajasiriamali wa zao la alizeti na mhogo katika Kijiji cha Hanga kilichopo Wilaya ya Namtumbo Mkoa…

Continue Reading....

TFF yatoa ufafanuzi juu ya Kamati ya Ligi Kuu

Posted on: October 16, 2011 - jomushi
TFF yatoa ufafanuzi juu ya Kamati ya Ligi Kuu

Continue Reading....

Dar es Salaam Bloggers’ Circle Meeting

Posted on: October 16, 2011 - jomushi
Dar es Salaam Bloggers’ Circle Meeting

Dear Dar Es Salaam Bloggers, Dar es Salaam Bloggers’ Circle would like to invite you to a group meeting at 6:30 p.m. on Wednesday, October…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari