Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,115

Author: jomushi

Tanzania yapongezwa kutekeleza malengo ya milenia

Posted on: October 21, 2011October 22, 2011 - jomushi
Tanzania yapongezwa kutekeleza malengo ya milenia

TANZNIA imepongezwa kwa jitihada zake za kutekeleza Malengo ya Milenia ambayo yalilenga katika kupunguza vifo vya akina mama na watoto na pia jitihada zake katika…

Continue Reading....

Poulsen ataja wachezaji wa U17 watakao kwea pipa

Posted on: October 21, 2011 - jomushi
Poulsen ataja wachezaji wa U17 watakao kwea pipa

Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Timu za Vijana Tanzania, Kim Poulsen ametaja kikosi cha Timu ya Vijana wa Chini ya Miaka 17. Kwa mujibu wa…

Continue Reading....

WAMA, GE kushirikiana kupunguza vifo vya wajawazito na watoto

Posted on: October 21, 2011 - jomushi
WAMA, GE kushirikiana kupunguza vifo vya wajawazito na watoto

Na Anna Nkinda – Maelezo TAASISI ya General Election Health Magination (GE) ya nchini Marekani imeamua kufanya kazi na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA)…

Continue Reading....

AU yakana ‘propaganda’ za Somalia

Posted on: October 21, 2011October 21, 2011 - jomushi
AU yakana ‘propaganda’ za Somalia

UMOJA wa Afrika umekataa kwamba miili ya watu 70 iliyoonyeshwa na wapiganaji wa Kisomali wa kundi la al-Shabab ni askari wa umoja huo waliouawa kwenye…

Continue Reading....

ICC yaihoji Malawi kuhusu Rais Bashir

Posted on: October 21, 2011 - jomushi
ICC yaihoji Malawi kuhusu Rais Bashir

MAHAKAMA ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeitaka Malawi kueleza kwanini ilishindwa kumkamata Rais wa Sudan Omar al-Bashir katika ziara yake ya hivi karibuni.…

Continue Reading....

Mazishi ya siri ya Gaddafi

Posted on: October 21, 2011October 21, 2011 - jomushi
Mazishi ya siri ya Gaddafi

MAMLAKA nchini Libya zinafanya mipango ya kufanya mazishi ya siri kwa kiongozi aliyeondolewa madarakani Kanali Muammar Gaddafi, baada ya kukamatwa na kuawa, BBC inafahamu. Hata…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari