Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,111

Author: jomushi

Tetemeko laua zaidi ya watu 1,000 Uturuki

Posted on: October 24, 2011October 24, 2011 - jomushi
Tetemeko laua zaidi ya watu 1,000 Uturuki

TETEMEKO la ardhi lenye ukubwa wa kipimo cha 7.3 cha Richter mashariki mwa Uturuki leo limeua kati ya watu 500 hadi elfu moja. Profesa, Mustafa…

Continue Reading....

Man United chali, yapigwa 6-1 kwao

Posted on: October 24, 2011October 24, 2011 - jomushi
Man United chali, yapigwa 6-1 kwao

MANCHESTER City imeizaba Manchester United 6-1 kwenye uwanja wa Old Trafford. Kinyume na matarajio ya Wengi, Man United walishindwa kabisa kuhimili vishindo vya majirani zao…

Continue Reading....

Chelsea nayo hola kwa QPR

Posted on: October 24, 2011 - jomushi
Chelsea nayo hola kwa QPR

Chelsea imebanwa na QPR na kuchapwa 1-0 katika mchezo uliojaa vuta nikuvute na kadi nyingi. Bao hilo pekee la QPR limefungwa na Heidar Helgoson katika…

Continue Reading....

Watu 13 wajeruhiwa shambulio mjini Nairobi

Posted on: October 24, 2011October 24, 2011 - jomushi
Watu 13 wajeruhiwa shambulio mjini Nairobi

SHAMBULIO la guruneti katika Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi, limesababisha watu 13 kujeruhiwa huku mmoja kati yao kujeruhiwa vibaya kufuatia shambulio hilo. Taarifa za awali…

Continue Reading....

Odinga: Kenya kuandaa Kombe la Dunia

Posted on: October 23, 2011 - jomushi
Odinga: Kenya kuandaa Kombe la Dunia

WAZIRI Mkuu wa Kenya amesema nchi hiyo inaweza kuandaa mashindano ya kandanda ya Kombe la Dunia hivi karibuni. Taarifa zinasema, Raila Odinga anataka nchi hiyo…

Continue Reading....

Uchaguzi huru wafanywa Tunisia

Posted on: October 23, 2011 - jomushi
Uchaguzi huru wafanywa Tunisia

WANANCHI wa Tunisia wanapiga kura leo kuchagua bunge litalotayarisha katiba mpya na kumteua rais wa muda. Taarifa zinazohusianaAfrika, Siasa Tunisia ilikuwa ya mwanzo kuanza ghasia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari