Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,105

Author: jomushi

Jenerali Mboma ateuliwa M/Kiti Bodi ya Tanesco

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Jenerali Mboma ateuliwa M/Kiti Bodi ya Tanesco

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemteua Jenerali mstaafu Robert Mboma kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika…

Continue Reading....

Sitta aitaka benki ya NMB kufungua matawi nchi za A. Mashariki

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Sitta aitaka benki ya NMB kufungua matawi nchi za A. Mashariki

Na Mwandishi Wetu, Arusha WAZIRI wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameitaka Benki ya NMB kufungua matawi yake kwenye nchi za Afrika Mashariki ili kupanua biashara…

Continue Reading....

Jaji Chande atailetea heshima Tanzania- JK

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Jaji Chande atailetea heshima Tanzania- JK

TANZANIA itapata heshima kubwa iwapo Jaji Mkuu Mheshimiwa Mohammed Chande Othman atachaguliwa kuwa muongoza Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, maarufu…

Continue Reading....

Kikwete atuma rambirambi ajali ya basi lililoteketea moto Pwani

Posted on: October 26, 2011October 26, 2011 - jomushi
Kikwete atuma rambirambi ajali ya basi lililoteketea moto Pwani

Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete amemtumia Mkuu wa Mkoa wa Pwani salamu za rambirambi na masikitiko makubwa kufuatia ajali ya basi la abiria lijulikanalo…

Continue Reading....

Mpigie Geofrey Mwakibete kura ya ‘Mpiga Picha Bora wa Mitindo’

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Mpigie Geofrey Mwakibete kura ya ‘Mpiga Picha Bora wa Mitindo’

MPENZI mdau na msomaji wa mtandao huu, napenda kukufahamisha kuwa Geofrey Mwakibete wa MO BLOG amebahatika kuchaguliwa kuwa miongoni mwa washiriki wa shindano la SWAHILI…

Continue Reading....

Dk. Nchimbi apokea msaada wa mipira 300 toka Serikali ya China

Posted on: October 26, 2011 - jomushi
Dk. Nchimbi apokea msaada wa mipira 300 toka Serikali ya China

Benjamin Sawe, Maelezo- Dar es Salaam SERIKALI ya China imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya michezo kiwemo mipira 300 kwa Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari