Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemteua Jenerali mstaafu Robert Mboma kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika…
Continue Reading....Author: jomushi
Sitta aitaka benki ya NMB kufungua matawi nchi za A. Mashariki
Na Mwandishi Wetu, Arusha WAZIRI wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameitaka Benki ya NMB kufungua matawi yake kwenye nchi za Afrika Mashariki ili kupanua biashara…
Continue Reading....Jaji Chande atailetea heshima Tanzania- JK
TANZANIA itapata heshima kubwa iwapo Jaji Mkuu Mheshimiwa Mohammed Chande Othman atachaguliwa kuwa muongoza Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, maarufu…
Continue Reading....Kikwete atuma rambirambi ajali ya basi lililoteketea moto Pwani
Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Kikwete amemtumia Mkuu wa Mkoa wa Pwani salamu za rambirambi na masikitiko makubwa kufuatia ajali ya basi la abiria lijulikanalo…
Continue Reading....Mpigie Geofrey Mwakibete kura ya ‘Mpiga Picha Bora wa Mitindo’
MPENZI mdau na msomaji wa mtandao huu, napenda kukufahamisha kuwa Geofrey Mwakibete wa MO BLOG amebahatika kuchaguliwa kuwa miongoni mwa washiriki wa shindano la SWAHILI…
Continue Reading....Dk. Nchimbi apokea msaada wa mipira 300 toka Serikali ya China
Benjamin Sawe, Maelezo- Dar es Salaam SERIKALI ya China imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya michezo kiwemo mipira 300 kwa Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni…
Continue Reading....