Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 207

Author: jomushi

Waziri Mbarawa Awapa Miezi Miwili ‘Wachina’ Kumaliza Barabara ya Nakapanya

Posted on: July 18, 2016 - jomushi
Post Tags: barabara
Waziri Mbarawa Awapa Miezi Miwili ‘Wachina’ Kumaliza Barabara ya Nakapanya

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ametoa miezi miwili kwa mkandarasi wa kampuni ya M/s Jiangxi Geo-Engineering (Group) Corporation anayejenga sehemu ya…

Continue Reading....

Kilio cha Mrema Chasikika Ikulu, Rais Dk Magufulia Ampa Kazi

Posted on: July 16, 2016July 16, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Dk. Magufulia
Kilio cha Mrema Chasikika Ikulu, Rais Dk Magufulia Ampa Kazi

KILIO cha muda mrefu cha Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Lyatonga Mrema kuomba asisahaulike katika ufalme wa Rais Dk…

Continue Reading....

Matokeo Kidato cha Sita; Sekondari Kongwe za Serikali Zaamka

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Matokeo
Matokeo Kidato cha Sita; Sekondari Kongwe za Serikali Zaamka

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Sita, 2016 huku shule 10 zilizofanya vizuri ni pamoja na Sekondari za Kisimiri-Arusha, Feza…

Continue Reading....

Naibu Waziri Jaffo Aguswa na Jitihada za Akinamama wa Kitanga, Kisarawe

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Akinamama
Naibu Waziri Jaffo Aguswa na Jitihada za Akinamama wa Kitanga, Kisarawe

     Bi. Anna Salado, Mkurugenzi wa taasisi ya Women for Africa Foundation ya Hispania, akizungumza na akinamama wa kikundi cha Green Voices katika Kijiji…

Continue Reading....

Askofu Dk. Gadi Kuongoza Maombi ya Siku 1001 Kuliombea Taifa

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Maombi
Askofu Dk. Gadi Kuongoza Maombi ya Siku 1001 Kuliombea Taifa

 Mchungaji Palemo Massawe (kulia), akitoa ufafanuzi kwa wanahabari kuhusu mkutano huo. Askofu Dk. Charles Gadi (wa pili kushoto), na wachungaji wenzake wakiomba baada ya kuzungumza na…

Continue Reading....

Polisi Mbeya Yamshikilia Baba Aliyetelekeza Mtoto Wake Mlemavu

Posted on: July 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Unyanyasaji
Polisi Mbeya Yamshikilia Baba Aliyetelekeza Mtoto Wake Mlemavu

Na Emanuel Madafa, Mbeya JESHI la Polisi kupitia dawati la jinsia na watoto linamshikilia Baba mzazi wa kijana mwenye tatizo la ulemavu wa viungo na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari