Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,052

Author: jomushi

Ngoma Africa Band kuvamia Munchen Dec 3, 2011

Posted on: November 30, 2011 - jomushi
Ngoma Africa Band kuvamia Munchen Dec 3, 2011

CD ya “50 Uhuru Anniversary” inatamba redioni Na Mwandishi Wetu WATANZANIA waishio Ujerumani wameanza shamra shamra za kusherekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara,…

Continue Reading....

Wanawake wabakaji Zimbabwe wafikishwa Mahakamani

Posted on: November 30, 2011November 30, 2011 - jomushi
Wanawake wabakaji Zimbabwe  wafikishwa Mahakamani

Polisi wa Zimbabwe wanaamini kuna mtindo wa wanawake kuwabaka wanaume Zimbabwe , ili kutumia mbegu zao za kiume katika ushirikina kujitajirisha. Imechukuwa zaidi ya mwaka…

Continue Reading....

Upigaji kura waongezwa muda DRC

Posted on: November 30, 2011 - jomushi
Upigaji kura waongezwa muda DRC

Muda wa upigaji kura umeongezwa na kuingia siku ya pili katika baadhi ya maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sehemu ambazo upigaji huo haukufanyika…

Continue Reading....

Wahusika wa kashfa ya BAE TZ kushtakiwa

Posted on: November 30, 2011November 30, 2011 - jomushi
Wahusika wa kashfa ya BAE TZ kushtakiwa

Kundi la wabunge kutoka vyama mbali mbali vya siasa nchini Uingereza limetoa wito wa kufunguliwa mashtaka dhidi ya mtu yeyote aliyehusika katika kashfa ya ufisadi…

Continue Reading....

Laurent Gbagbo apelekwa The Hague

Posted on: November 30, 2011November 30, 2011 - jomushi
Laurent Gbagbo apelekwa The Hague

Mwendesha mashtaka nchini Ivory Coast amesema kuwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Laurent Gbagbo, ameondoka kutoka mji wa Korhogo, kaskazini mwa nchi, na kwamba anasafirishwa…

Continue Reading....

JK asaini muswada waliougomea CHADEMA

Posted on: November 29, 2011 - jomushi
JK asaini muswada waliougomea CHADEMA

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete hatimaye leo, Novemba 29, 2011, ametia saini Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari