Msikiti wa Mbagala Kingugi ni moja ya nyumba tano zilizoharibiwa kabisa na mafuriko hayo. Aidha nyumba nyingine 15 zimebomolewa kiasi.
Continue Reading....Author: jomushi
Leo ni leo, nani mbabe kati ya Maneno Osward na Rashid Matumla
Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Shabani Adios ‘Mwayamwaya'(katikati), akiwashuudia mabondia, Maneno Osward ‘Mtambo wa Gongo’ kushoto na Rashidi Matumla ‘Snake Man’, wakitunishiana misuli…
Continue Reading....Shivji amkosoa Kikwete kuhusu katiba
MWENYEKITI wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere Profesa Issa Shivji amekosoa Sheria ya Mchakato wa Kuundwa kwa Katiba mpya iliyosainiwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni…
Continue Reading....Yanga Tabata kukutana Boxing Day
Na Mwandishi Wetu WANACHAMA wa klabu ya Yanga tawi la Tabata wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano wa mwaka utakaofanyika kesho, Jumatatu (26 Desemba, 2011)…
Continue Reading....Salamu za Krismas na Mwaka Mpya
UONGOZI na wafanyakazi wa Gazeti Tando la dev.kisakuzi.com unapenda kuwatakia heri ya Siku Kuu za Chrismas na Mwaka Mpya 2012 wasomaji, wachangiaji na wote wenye…
Continue Reading....YAYA TOURE mchezaji bora CAF
Mcheza kiungo wa klabu ya Manchester City na Timu ya Taifa ya Ivory Coast,Yaya Toure amechaguliwa kua mchezaji bora wa soka na Shirikisho la soka…
Continue Reading....