Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,018

Author: jomushi

Waathirika wa mafuriko bado wanahitaji misaada

Posted on: December 27, 2011 - jomushi
Waathirika wa mafuriko bado wanahitaji misaada

NDUGU zetu waliopatwa na janga la mafuriko bado wanahitaji misaada yetu Watanzania tafdhal endelea kuchangia kwa Kupitia nambari ya Red Alert 15599 mteja anaweza kuchangia…

Continue Reading....

Salamu za X-smas & Mwaka Mpya kutoka Radio France Dar es Salaam

Posted on: December 27, 2011 - jomushi
Salamu za X-smas & Mwaka Mpya kutoka Radio France Dar es Salaam

Continue Reading....

Wakazi Kota za Bandari Kariakoo wagoma kuvunjiwa

Posted on: December 27, 2011 - jomushi
Wakazi Kota za Bandari Kariakoo wagoma kuvunjiwa

WAKAZI wa Kariakoo Kota za Bandari Kata ya Gerezani wameitaka serikali kutowahamisha wala kuwavunjia nyumba zao hadi hapo kesi yao iliyopo mahakama kuu kitengo cha…

Continue Reading....

Kombora mbio za urais 2015

Posted on: December 27, 2011 - jomushi
Kombora mbio za urais 2015

*Mch. Lusekelo asema kuwaza sasa ni utoto wa moyo, *Sitta asema urais unakuja wenyewe MCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo amesema mbio za urais…

Continue Reading....

Maaskofu waonya posho mpya, ufisadi

Posted on: December 26, 2011 - jomushi
Maaskofu waonya posho mpya, ufisadi

*Wasema tusipokuwa makini tunauza uhuru wetu MAASKOFU nchini jana walitumia ibaada ya Krismasi, kuzungumzia mambo kadhaa ya kitaifa yakiwamo nyongeza ya posho za wabunge na…

Continue Reading....

Mpambano wa Matumla Osward hakuna mbabe

Posted on: December 26, 2011 - jomushi
Mpambano wa Matumla Osward hakuna mbabe

MPAMBANO kati ya mabondia Rashid Matumla ‘Snake Man’ na Maneno Osward ‘Mtambo wa Gongo’ umemalizika jana jijini Dar es Salaam huku mabondia hao wakitoshana nguvu.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari