Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 201

Author: jomushi

TANAPA Yaisaidia Timu ya Riadha ya Taifa Kushiriki Olimpiki

Posted on: July 27, 2016July 27, 2016 - jomushi
Post Tags: Tanapa
TANAPA Yaisaidia Timu ya Riadha ya Taifa Kushiriki Olimpiki

  Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete akitoa neno la ukaribisho kwa wanahabari na wageni wengine katika hafla fupi ya…

Continue Reading....

Benki ya Posta Yapata Faida ya Shilingi Bilioni 8.84 kwa Nusu Mwaka 2016

Posted on: July 27, 2016 - jomushi
Benki ya Posta Yapata Faida ya Shilingi Bilioni 8.84 kwa Nusu Mwaka 2016

NUSU ya kwanza ya Mwaka 2016 iliyoisha mwezi Juni, imekuwa yenye mafanikio makubwa sana kwa Benki ya Posta Tanzania (TPB). Pamoja na changamoto mbalimbali ambazo…

Continue Reading....

Rais Magufuli Amteuwa Dk Samuel Nyantahe Uwenyekiti Bodi ya NDC

Posted on: July 25, 2016July 25, 2016 - jomushi
Rais Magufuli Amteuwa Dk Samuel Nyantahe Uwenyekiti Bodi ya NDC

Dk. Samuel M. Nyantahe RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemteua Dk. Samuel M. Nyantahe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya…

Continue Reading....

Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Akutana na Wasambazaji Kazi za Sanaa

Posted on: July 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Filamu
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Akutana na Wasambazaji Kazi za Sanaa

Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu, Bi. Joyce Fissoo akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Wawakilishi wa Wasambazaji wa kazi za Sanaa nchini (hawapo pichani) waliotembelea…

Continue Reading....

DarCity Veterans Wapepetana Dhidi ya Boko Beach Veretans

Posted on: July 25, 2016 - jomushi
Post Tags: michezo mpira
DarCity Veterans Wapepetana Dhidi ya Boko Beach Veretans

 Kikosi cha DarCity Veterans, kinachoongozwa na Mwanasoka wa zamani, Tippo Athuman Shaaban “Zizzou” (Wa nne kulia waliosimama) kikiwa katika picha ya pamoja, kabla ya mchezo…

Continue Reading....

Makamu wa Rais Mstaafu Apagawishwa na Ngoma ya Mtoto, Nansio

Posted on: July 24, 2016 - jomushi
Makamu wa Rais Mstaafu Apagawishwa na Ngoma ya Mtoto, Nansio

WAKATI wasanii wa kundi la ngoma za utamaduni la Utandawazi wanajipanga kutumbuiza, watu wengi waliokusanyika kwenye viwanja wa shule ya msingi Bukongo mjini Nansio walikuwa wanajiuliza mtoto…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari