Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Misri kuchezesha mechi ya kwanza ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali…
Continue Reading....Author: jomushi
Nahodha Twiga Stars kucheza Uturuki
*Twiga Stars yaingiza mil 38 NAHODHA wa timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake (Twiga Stars), Sophia Mwasikili ameondoka Januari 30 mwaka huu…
Continue Reading....JK, Tanzania wapewa tuzo ya malaria
Na Mwandishi Maalumu TANZANIA na Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete wametunukiwa Tuzo Maalum kutokana na juhudi zilizotukuka katika kupambana na ugonjwa wa…
Continue Reading....Vodacom yatangaza punguzo la gharama
*Kupiga simu sasa ni robo shs, SMS ni shs 25 KAMPUNI ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetangaza promosheni ya aina yake ya punguzo la gharama…
Continue Reading....UNDP yaifagilia Zanzibar chini ya Dk Shein
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo Duniani (UNDP) limeeleza kuwa mafanikio yanayoendelea kupatikana katika sekta za maendeleo Zanzibar yatasaidia…
Continue Reading....