Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,894

Author: jomushi

Omba Mungu usiibiwe Maneromango, ni mzigo mara dufu

Posted on: April 3, 2012 - jomushi
Omba Mungu usiibiwe Maneromango, ni mzigo mara dufu

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com-Kisarawe UKIWA wewe ni mkazi wa Kata ya Maneromango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani huenda siku zote utakuwa ukiomba isitokee umeibiwa au…

Continue Reading....

Utawala wa kijeshi Mali kuwekewa vikwazo

Posted on: April 2, 2012 - jomushi
Utawala wa kijeshi Mali kuwekewa vikwazo

MALI inaweza kuwekewa vikwazo hii leo, baada ya viongozi wa kijeshi kutoonesha ishara zozote kuheshimu ahadi walizotoa za kurejesha utawala wa kiraia nchini humo. Muda…

Continue Reading....

LAPF kutoa msaada kwa kambi ya masumbwi taifa

Posted on: April 2, 2012April 2, 2012 - jomushi
LAPF kutoa msaada kwa kambi ya masumbwi taifa

AWALI ya yote Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) tunatoa shukrani za dhati kwa kwa shirika la LAPF kwa mara nyingine kukubali kuipatia timu ya Taifa…

Continue Reading....

JK amtumia rambirambi IGP mstaafu Mahundi

Posted on: April 2, 2012 - jomushi
JK amtumia rambirambi IGP mstaafu Mahundi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta-Jenerali Saidi Mwema kuomboleza…

Continue Reading....

Tenga amkatalia Said Mohamed kujiuzulu

Posted on: April 2, 2012 - jomushi
Tenga amkatalia Said Mohamed kujiuzulu

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Leodegar Tenga amekataa barua ya kuomba kujiuzulu ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Ligi ya TFF,…

Continue Reading....

Mshindi wa promosheni ya Zantel ‘Tick Tock’

Posted on: April 2, 2012 - jomushi
Mshindi wa promosheni ya Zantel ‘Tick Tock’

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari