Na Anna Nkinda – Sao Paul, Brazil VILABU vya soka nchini vimeshauriwa kuwa na timu nzuri kuanzia ngazi ya watoto wenye umri wa miaka nane,…
Continue Reading....Author: jomushi
Ole Millya ahamia Chadema
MBOWE ASEMA AMEFANYA UAMUZI WA KIJASIRI, MUKAMA NAPE WAMKEJELI KITENDO cha Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Mkoa wa Arusha, James Millya kukihama…
Continue Reading....Makongoro Nyerere aeleza atakavyo muenzi Nyerere ubunge EAC
MTOTO wa Rais wa kwanza wa taifa la Tanzania anagombea nafasi ya ubunge katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutimiza adhma ya Baba…
Continue Reading....Ngoma Africa Band watoka na Uhuru wa Habari
KWA kawaida wanahabari na vyombo vyao ndio wanarusha hewani habari za matukio mbalimbali pamoja wasanii na burudani zao kwa jamii, lakini bendi maarufu Ngoma Africa…
Continue Reading....JK awasili nchini Brazil kikazi
Na Mwandishi Maalumu, Brazil RAIS Jakaya Kikwete amewasili Brazil Jumapili Aprili 15, 2012 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tano. Katika ziara hiyo…
Continue Reading....