KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na mfuko wa mafao ya uzeeni kwa watumishi wa serikalini, (GEPF) imezindua huduma itayowawezesha wanachama wa…
Continue Reading....Author: jomushi
Mama salma Kikwete awatembelea wagonjwa wa kansa-Brasilia
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa amembeba mtoto Anna Julia Telles mwenye umri wa miezi mitatu anayepata matibabu ya kansa katika Hospitali ya watoto…
Continue Reading....SUDAN KUWASILI MCHANA HUU
Timu ya Taifa ya Sudan (U20) inawasili leo saa 7.25 mchana (Aprili 19 mwaka huu) kwa ndege ya Ethiopian Airlines namba ET 805 ikiwa na…
Continue Reading....Jumla ya Shilingi bilioni 71 zatumika kununua karafuu Unguja na Pemba,
Na mwandishi wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa wananchi wa Zanzibar hasa wakulima wa…
Continue Reading....CHUO CHA GLOBAL EDUCATION LINK LTD CHAJIVUNIA UBORA WA UTOAJA WA ELIMU YA JUU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal kulia akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wachuo cha Global Education Link. Bw. Abdulmalik Mollel…
Continue Reading....Vodacom yajivunia Tuzo ya Uwekezaji Endelevu katika Jamii Afrika Mashariki
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt akisoma tuzo ya Uwekezaji Bora Endelevu katika Jamii kwa Makampuni ya Afrika Mashariki iliyotunukiwa kampuni ya Vodacom Tanzania…
Continue Reading....