Katibu tawala wa mkoa wa Singida, Liana Hassan (wapili kulia) akionyesha ramani ya jengo la utawala la hospitali ya rufani ya Singida ambayo ujenzi unaendelea.…
Continue Reading....Author: jomushi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mikoa ikiwa…
Continue Reading....Pumzika kwa amani Magoma Shabani
BONDIA wa kimataifa na bingwa wa dunia wa WBU uzani wa flyweight MAGOMA SHABAN amefariki jana saa mbili na nusu usiku katika hospital ya Bombo…
Continue Reading....Rais Jakaya akagua jengo la Jumuiya ya A.Mashariki-Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Bodi ya Magavana…
Continue Reading....Stars yawasili Abdjan, Kim ajitetea mechi itakuwa ngumu
Kikosi cha Taifa Stars kimewasili hapa Abidjan (Mei 31 mwaka huu) mchana huku Kocha Mkuu wa timu hiyo Kim Poulsen akisema mechi dhidi ya Ivory…
Continue Reading....Afya ya uzazi kupewa kipaumbele mchakato wa Katiba mpya
JAMII iimeshauriwa kulipa kipaumbele suala ya mapendekezo ya kuwepo kwa sheria ya Afya ya Uzazi Salama katika mchakato wa kuwepo kwa Katiba Mpya , ambayo…
Continue Reading....