Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,782

Author: jomushi

Mbunge wa Kishapu kulipua bomu bungeni, ni kuhusu ubadhilifu

Posted on: June 17, 2012 - jomushi
Mbunge wa Kishapu kulipua bomu bungeni, ni kuhusu ubadhilifu

Na Shaabani Alley, Shinyanga MBUNGE wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleman Nchambi amesema anajiandaa kutoa hoja tatu binafsi bungeni wiki ijayo kuhusu ubadhilifu wa…

Continue Reading....

Gambia yajivunia Bi Fatou Bensouda,

Posted on: June 16, 2012June 16, 2012 - jomushi
Gambia yajivunia Bi Fatou Bensouda,

Mwendesha Mashtaka Mkuu mpya wa Mahakama ya Kimataifa ya kukabiliana na Uhalifu wa Kivita ameapishwa mjini Hague hii leo. Bi Fatou Bensouda, aliyekuwa wakati mmoja…

Continue Reading....

Al-Shabab wajisalimisha

Posted on: June 16, 2012June 16, 2012 - jomushi
Al-Shabab wajisalimisha

Kundi la wanamgambo nchini Somalia lenye uhusiano na Al-Qaeda ,Al-Shabab, linaonekana kuishiwa nguvu kabisa kwani baadhi ya wanamgambo hao wanaamua kujitoa na kurejea katika maisha…

Continue Reading....

Vitaly Shemetov amkimbia matumla

Posted on: June 16, 2012June 16, 2012 - jomushi
Vitaly Shemetov amkimbia matumla

Mrusi wa Matumla amemkimbia baada ya kuona rekodi yake ni kali. Wawili hao walikuwa wacheze katika mpambano uliopewa jina la “The Rumble on the Mountain”…

Continue Reading....

Deidre Lorenz kukimbia Marathon June 24 Kilimanjaro

Posted on: June 16, 2012June 16, 2012 - jomushi
Deidre Lorenz kukimbia Marathon June 24 Kilimanjaro

MICHEZA sinema maarufu duniani kutoka nchini Marekani Deidre Lorenz atakimbia mbio za kila mwaka za Mount Kilimanjaro Marathon zinazoanza kutimua vumbi kuanzia tarehe 24 Juni…

Continue Reading....

Nape akutana na walimu Mafinga

Posted on: June 16, 2012June 16, 2012 - jomushi
Nape akutana na walimu Mafinga

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na walimu wa shule za sekondari na za msingi mjini Mafinga…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari