Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,776

Author: jomushi

Watu 46,300 Moshi hawajui kusoma na kuandika

Posted on: June 21, 2012 - jomushi
Watu 46,300 Moshi hawajui kusoma na kuandika

Na Florah Temba, wa dev.kisakuzi.com-Moshi ZAIDI ya watu 46,300 toka Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamebainika hawajui kusoma na kuandika hali ambayo imekuwa…

Continue Reading....

EAC na msimamo wa biashara za silaha duniani

Posted on: June 21, 2012June 21, 2012 - jomushi
EAC na msimamo wa biashara za silaha duniani

Na mwandishi wetu WATAALAMU wa masuala ya usalama toka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanakamilisha maandalizi ya msimamo wa pamoja wa kikanda…

Continue Reading....

Madereva daladala wagoma Moshi

Posted on: June 21, 2012June 21, 2012 - jomushi
Madereva daladala wagoma Moshi

Na mwandishi wetu Moshi MADEREVA wa magari madogo maarufu kama Hiace yanayofanya safari zake katika mji wa Moshi jana wamegoma kwa muda usiojulikana wakilalamikia halmashauri…

Continue Reading....

Timu ya vijana Mara kudumisha nidhamu Copa cocacola

Posted on: June 21, 2012June 21, 2012 - jomushi
Timu ya vijana Mara kudumisha nidhamu Copa cocacola

Na mwandishi wetu Musoma, TIMU ya soka ya Vijana walio na umri chini ya miaka 17 ya Mkoa wa Mara imeondoka leo alfajiri kuelekea Jijini…

Continue Reading....

Afungwa maisha kwa kumuua Malkia

Posted on: June 20, 2012June 20, 2012 - jomushi
Afungwa maisha kwa kumuua Malkia

Mahakama ya kimataifa inayochunguza mauji ya kimbari nchini Rwanda{ICTR} imemhukumu mwanajeshi wa zamani kifungo cha maisha jela kwa kuhusika na mauaji hayo ya mwaka 1994.…

Continue Reading....

Mubarak taabani

Posted on: June 20, 2012June 20, 2012 - jomushi
Mubarak  taabani

TAARIFA za kutatanisha zimeibuka kuhusu afya ya Hosni Mubarak aliyeondolewa madarakani kufuatia maandamano ya kutaka mageuzi nchini Misri mwaka jana. Baadhi ya vyombo vya habari…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari