RIPOTI YA UTAFITI WA TAMWA KUHUSU UNYANYASAJI WA KIJINSIA 1.0 UTANGULIZI CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), katika mpango mkakati wake wa miaka mitano…
Continue Reading....Author: jomushi
John Terry wa Chelsea matatani kwa ‘kutusi’!
ANTON Ferdinand ameieleza mahakama kwamba ‘ningelikerwa sana’ na matamshi ya ubaguzi wa rangi kama ningelimsikia John Terry akitamka maneno hayo. John Terry, mwenye umri wa…
Continue Reading....Mchaka mchaka Robo Fainali Copa Coca-Cola leo
ROBO Fainali ya michuano ya Copa Coca-Cola 2012 inayokutanisha vijana wenye umri chini ya miaka 17 inaanza leo Julai 10 mwaka huu kwa timu nne…
Continue Reading....JK ampongeza Askofu Protase Rugambwa wa Kigoma
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pongezi Askofu Protase Rugambwa wa Jimbo Katoliki la Kigoma, kwa kuteuliwa…
Continue Reading....Mwaka mmoja wa uhuru wa Sudan Kusini
UMETIMIA mwaka mmoja tangu Sudan Kusini ijitangaze kuwa taifa huru. Kuanzia saa sita za usiku, raia wa nchi hiyo wamekuwa wakisherehekea katika mji mkuu wa…
Continue Reading....Wajua kuwa sasa unaweza kujipima UKIMWI nyumbani kwako?
MAREKANI imetangaza kuruhusu kuuzwa kwa chombo cha kupima virusi vinavyosababisha UKIMWI kwa binadamu vya HIV. Baada ya kifaa hicho maalumu cha vipimo kukubalika na kuruhusiwa…
Continue Reading....