Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,720

Author: jomushi

John Komba arejea matibabuni kutoka India

Posted on: July 27, 2012 - jomushi
John Komba arejea matibabuni kutoka India

Na Bashir Nkoromo MKURUGENZI wa Kundi la Tanzania One Theatre (TOT) ambaye pia ni Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba amerejea kutoka India ambako amefanyiwa…

Continue Reading....

Wake wa marais Afrika watakiwa kuwajengea uwezo wanawake na watoto

Posted on: July 27, 2012 - jomushi
Wake wa marais Afrika watakiwa kuwajengea uwezo wanawake na watoto

Na Mwandishi Maalum, Abuja WAKE wa Marais wa Afrika wametakiwa kuwajengea uwezo wanawake na watoto wa kike kwa kuhakikisha kuwa wanapata elimu ya kutosha ambayo…

Continue Reading....

Rambi rambi ya JK kwa familia ya Mzee James Irenge

Posted on: July 27, 2012 - jomushi
Rambi rambi ya JK kwa familia ya Mzee James Irenge

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameitumia familia ya Mzee James Irenge salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mzee huyo ambaye katika…

Continue Reading....

Lady Jay Dee akitumbuiza uzinduzi wa Qatar Airways

Posted on: July 27, 2012 - jomushi
Lady Jay Dee akitumbuiza uzinduzi wa Qatar Airways

Tembelea burudani ya Lady Jay Dee katika uzinduzi wa Qatar Airways kupitia; “http://www.youtube.com/embed/zJauufvNtFI?feature=player_detailpage”

Continue Reading....

ABG donates $100,000 to fight against malaria

Posted on: July 27, 2012 - jomushi
ABG donates $100,000 to fight against malaria

Continue Reading....

Ngoma Africa band watunukiwa , ” IDA – International Diaspora Award”

Posted on: July 26, 2012 - jomushi
Ngoma Africa band watunukiwa , ” IDA – International Diaspora Award”

HABARI za uhakika kuwa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya “The Ngoma Africa Band” au maarufu kwa jina la “FFU” wazee wa virungu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari