Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,703

Author: jomushi

Watendaji wa vijiji kuwasaka wazazi wanaowaficha watoto wenye ulemavu

Posted on: August 9, 2012August 9, 2012 - jomushi
Watendaji wa vijiji kuwasaka wazazi wanaowaficha watoto wenye ulemavu

Na Mwandishi Wetu, Same SERIKALI wilayani Same mkoani Kilimanjaro imewataka watendaji wa kata na vijiji kuwasaka wazazi wanaoendeleza vitendo vya kikatili vya kuwaficha watoto wenye…

Continue Reading....

Maunga Orphanage Center yafurahia misaada ya timu ya Simba

Posted on: August 9, 2012August 9, 2012 - jomushi
Maunga Orphanage Center yafurahia misaada ya timu ya Simba

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Simba SC wamehitimisha Wiki ya Simba na Jamii, kwa kutoa misaada yenye jumla ya thamani ya Sh. Milioni 1.5 katika…

Continue Reading....

Wanafunzi wa darasa la tatu Korogwe wasomea uchochoroni

Posted on: August 8, 2012 - jomushi
Wanafunzi wa darasa la tatu Korogwe wasomea uchochoroni

Na Joachim Mushi, Korogwe WANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Silabu iliyopo Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga wanasomea kwenye uchochoro unaotenganisha kati…

Continue Reading....

Kamata kamata ya wezi kazi za wasanii Dodoma

Posted on: August 8, 2012 - jomushi
Kamata kamata ya wezi kazi za wasanii Dodoma

Mkurungezi wa Kampuni ya MSAMA PROMOTION, Alex Msama pichani mwenye fulana akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) CD za video na Audio za muziki wa…

Continue Reading....

Michuano ya BancABC Super kuendelea Agost 9

Posted on: August 8, 2012 - jomushi
Michuano ya BancABC Super kuendelea Agost 9

MECHI za michuano ya BancABC SUP8R inayoshirikisha timu nane bora kutoka Tanzania Bara na Zanzibar zinaendelea kesho (Agosti9 mwaka huu) kwenye miji ya Dar es…

Continue Reading....

Wasafirishaji mizigo EAC wahofia gharama na urasimu

Posted on: August 8, 2012 - jomushi
Wasafirishaji mizigo EAC wahofia gharama na urasimu

Na James Gashumba, EANA KUMEKUWEPO na maendeleo makubwa katika kupunguza vikwazo vya kibiashara lakini gharama kubwa za usafirishaji zinaibuka kama kikwazo kipya katika kufanya biashara…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari