Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,693

Author: jomushi

Tanzania yatoa Salamu za Rambirambi Kifo cha Zenawi

Posted on: August 21, 2012 - jomushi
Tanzania yatoa Salamu za Rambirambi Kifo cha Zenawi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete asubuhi ya Agosti 21, 2012, amepokea kwa mshtuko mkubwa, Masikitiko na Huzuni nyingi Taarifa…

Continue Reading....

CCM yasema Dk. Slaa anazeeka vibaya

Posted on: August 21, 2012August 22, 2012 - jomushi
CCM yasema Dk. Slaa anazeeka vibaya

Na Mwandishi wetu KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Nape Nauye amemshukia Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa, kufuatia Kauli aliyoitoa…

Continue Reading....

Abiria wa basi la ABS Express wanusurika kufa

Posted on: August 20, 2012August 22, 2012 - jomushi
Abiria wa basi la ABS Express wanusurika kufa

Abiria wa Basi la ABS Express waliokuwa wakisafiri kutokea jijini Dar es Salaam kuelekea mkoani Iringa juzi walinusurika kufa (Agosti,17) baada ya gari walilokuwa wakisafiria…

Continue Reading....

Dk. Shein ahutubia Baraza la Eid

Posted on: August 20, 2012August 22, 2012 - jomushi
Dk. Shein ahutubia Baraza la Eid

Na Rajab Mkasaba RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,amewataka Wananchi kutowapa nafasi wasioitakia mema Zanzibar na badala…

Continue Reading....

Maafisa wa EAC wajadili Mbinu za kupambana na Uhalifu

Posted on: August 20, 2012 - jomushi
Maafisa wa EAC wajadili Mbinu za kupambana na Uhalifu

Na James Gashumba Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayeshughulikia Shirikisho la Kisiasa Dk. Julius Rotich ametaka kuwepo kwa juhudi za pamoja…

Continue Reading....

Prime Time Promotions yatoa msaada wa chakula kwa yatima Vingunguti Dar

Posted on: August 20, 2012August 20, 2012 - jomushi
Prime Time Promotions yatoa msaada wa chakula kwa yatima Vingunguti Dar

Baadhi ya watoto wa kituo hicho wakisaidiana kubeba baadhi ya misaada ya vyakula iliyotolewa na Kampuni ya Prime Time Promotions Ltd. Uongozi wa Prime Time…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari