Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,647

Author: jomushi

Shy-Rose Bhanji Atesa Kinyang’anyiro cha Uchaguzi CCM

Posted on: September 27, 2012 - jomushi
Shy-Rose Bhanji Atesa Kinyang’anyiro cha Uchaguzi CCM

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji amefanikiwa kuwa mmoja kati ya wagombea 31 waliopitishwa na Kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM-NEC kuwania nafasi…

Continue Reading....

Uzinduzi wa Maonesho ya Tigo Mama AfriKa Sarakasi

Posted on: September 27, 2012 - jomushi
Uzinduzi wa Maonesho ya Tigo Mama AfriKa Sarakasi

  Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo akizungumza machache katika ufunguzi wa maonyesho ya Tigo Mama AfriKa sarakasi yanayoendelea katika ukumbi wa ukumbi wa…

Continue Reading....

HakiElimu Wazindua Matangazo Kuhamasisha Elimu ya Awali

Posted on: September 27, 2012September 27, 2012 - jomushi
HakiElimu Wazindua Matangazo Kuhamasisha Elimu ya Awali

Na Joachim Mushi TAASISI ya HakiElimu imezindua matangazo mapya ya redio na televisheni ikiwa ni kampeni ya kuhamasisha jamii na Serikali juu ya umuhimu wa…

Continue Reading....

Wadau Waibana Serikali Kuhusu ARV Bandia

Posted on: September 27, 2012 - jomushi
Wadau Waibana Serikali Kuhusu ARV Bandia

BARAZA la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (NACOPHA), limeitaka Serikali kuwaeleza wananchi madhara watakayoyapata baada ya kutumia dawa bandia za kupunguza makali…

Continue Reading....

Vita CCM, NEC Yatangaza Wagombea…!

Posted on: September 27, 2012 - jomushi
Vita CCM, NEC Yatangaza Wagombea…!

*Mawaziri Wachuana Kundi la Kifo, Yawatosa Londa, Mkono, Familia ya Kikwete Yaingiza Watatu HALMASHAURI Kuu ya CCM (Nec), imetangaza majina ya wagombea walioteuliwa kuwania nafasi…

Continue Reading....

Julius Malema Asema Hatishwi na Hatua ya Mahakama

Posted on: September 27, 2012 - jomushi
Julius Malema Asema Hatishwi na Hatua ya Mahakama

JULIAS Malema amewaambia wafuasi wake kuwa hatishiki na uamuzi wa Mahakama kusema kuwa ana kesi ya kujibu. Mahakama nchini Afrika ya Kusini ilimwachilia kwa dhamana…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari