Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,593

Author: jomushi

Mbunge Joshua Nassari Akanusha Kufyatua Risasi Uchaguzi wa Madiwani Arusha

Posted on: October 30, 2012 - jomushi
Mbunge Joshua Nassari Akanusha Kufyatua Risasi Uchaguzi wa Madiwani Arusha

MBUNGE wa Arumeru Mashariki (CHADEMA), Joshua Nassari amekanusha taarifa zilizoandikwa na magazeti ya Uhuru na Habari Leo kuwa alifyatua risasi na kuzua tafrani katika uchaguzi…

Continue Reading....

Mkutano wa Tisa wa Bunge la Tanzania Kuanza Leo

Posted on: October 30, 2012 - jomushi
Mkutano wa Tisa wa Bunge la Tanzania Kuanza Leo

MKUTANO wa Tisa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaanza leo mjini Dodoma. Taarifa kamili na shughuli anuai zinazotarajiwa kufanywa na mkutano huo…

Continue Reading....

Hilary Clinton Ziarani Nchini Nigeria

Posted on: October 29, 2012 - jomushi
Hilary Clinton Ziarani Nchini Nigeria

WAZIRI wa mambo ya nje wa Marekani, Hilary Clinton yuko nchini Nigeria, kuzungumzia swala la kukithiri kwa tisho la usalama kutokana na makundi ya wapiganaji…

Continue Reading....

Maombezi ya Kuombea Amani Tanzania

Posted on: October 29, 2012 - jomushi
Maombezi ya Kuombea Amani Tanzania

  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni, Dk. Getrude Rwakatare akitoa Ujumbe kwa Watanzania waliohudhiria Ibada Maalum ya Kuliombea Taifa ambapo ametaka…

Continue Reading....

Shamra shamra za Eid El Hajj na Skylight Band

Posted on: October 29, 2012 - jomushi
Shamra shamra za Eid El Hajj na Skylight Band

Pichani Juu na Chini ni kundi zima la SKYLIGHT Band likitoa burudani ya kukata na shoka katika kusheherekea Sikukuu ya Eid El Hajj katika kiota…

Continue Reading....

Chama Cha Wapangaji Waja Juu Watoa Karipio Kwa NHC

Posted on: October 29, 2012 - jomushi
Chama Cha Wapangaji Waja Juu Watoa Karipio Kwa NHC

Na Mwandishi Wetu CHAMA cha Wapangaji nchini kimelitaka Shirika la Nyumba Taifa (NHC) kuacha utaratibu wa kuziuza nyumba za shirika hilo kwa kisingizio cha mpangaji…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari