Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 140

Author: jomushi

Maadhimisho Siku ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa Tanzania

Posted on: October 26, 2016 - jomushi
Maadhimisho Siku ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa Tanzania

  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Moi akifungua rasmi sherehe za kuadhimisha siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na Mgongo wazi Duniani,ambapo alisema wanakazi…

Continue Reading....

Serikali Itaendelea Kudumisha Uhusiano na Ushirikiano Kati ya Tanzania na India

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Serikali Itaendelea Kudumisha Uhusiano na Ushirikiano Kati ya Tanzania na India

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kudumisha uhusiano na ushirikiano wa kihistoria kati ya Tanzania na…

Continue Reading....

Wafanyakazi wa NMB Mandela Watoa Msaada kwa Wagonjwa Hospitali ya Rufaa Mawenzi

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Wafanyakazi wa NMB Mandela Watoa Msaada kwa Wagonjwa Hospitali ya Rufaa Mawenzi

Wafanyakazi wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi wakishusha zawadi mbalimbali kwa ajili ya kugawa kwa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya rufaa…

Continue Reading....

Mabalozi nchi 12 Jumuiya ya Ulaya Wawasili Tanga Kuangalia Fursa za Uwekezaji

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Mabalozi nchi 12 Jumuiya ya Ulaya Wawasili Tanga Kuangalia Fursa za Uwekezaji

Continue Reading....

Prof. Mbarawa Aitaka Bodi Mpya ya TAA Kusitisha Ajira za Upendeleo

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Prof. Mbarawa Aitaka Bodi Mpya ya TAA Kusitisha Ajira za Upendeleo

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, ameitaka Bodi mpya ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kusimamia Menejimenti ya Mamlaka hiyo…

Continue Reading....

Wadau waunga Mkono Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Wadau waunga Mkono Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari

Benedict Liwenga- WHUSM WADAU wa Habari wameisifu Serikali kwa kuundaa na kuwasilisha Bungeni Muswada wa Sheria ya Huduma za Jabari. Wamesema ni jambo ambalo lilikuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari