Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,344

Author: jomushi

Milipuko Yaitikisa Boston Marathon, Yajeruhi Kadhaa

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Milipuko Yaitikisa Boston Marathon, Yajeruhi Kadhaa

MILIPUKO miwili katika eneo la kukamilisha mbio ndefu za Boston imesababisha majeruhi wasiojulikana idadi yao. Picha na video kutoka Boston zinaonyesha watu wakiwa wamechanganyikiwa wasijue…

Continue Reading....

Rais Kikwete Aomboleza Kifo cha Meja Jenerali Makame

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Aomboleza Kifo cha Meja Jenerali Makame

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa masikitiko na huzuni nyingi taarifa za…

Continue Reading....

Mjengwa Abaki ‘Mtuhumiwa’ Shambulizi la Absalom Kibanda

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Mjengwa Abaki ‘Mtuhumiwa’ Shambulizi la Absalom Kibanda

KAULI aliyoitoa leo mwandishi na mmiliki wa Mjengwa Blog inaonesha Jeshi la Polisi limemjumuisha kuwa miongoni mwa watuhumiwa wanaodaiwa kumshambulia, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri…

Continue Reading....

Dk. Shein, Azungumza na Uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Dk. Shein, Azungumza na Uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Continue Reading....

Mechi ya Azam, Simba Yaingiza Mil. 66/-, Yanga na Oljoro Mil. 63/-

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Mechi ya Azam, Simba Yaingiza Mil. 66/-, Yanga na Oljoro Mil. 63/-

MECHI ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Azam na Simba iliyochezwa Aprili 14 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 66,855,000…

Continue Reading....

SHIWATA Yaandaa Maonesho Kukuza Vipaji Vya Wasanii

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
SHIWATA Yaandaa Maonesho Kukuza Vipaji Vya Wasanii

SHIWATA imeandaa maonesho maalum kila mwezi ili kutoa nafasi kwa wasanii wa fani mbalimbali pamoja na wanamichezo kuonesha vipaji vyao. Wasanii wengi chipukizi wanakosa mahali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari