Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,271

Author: jomushi

Rais Kikwete: Tumeanza Kukomesha Aibu ya Mauaji ya Albino

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Rais Kikwete: Tumeanza Kukomesha Aibu ya Mauaji ya Albino

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amelaani kwa mara nyingine vitendo “vya aibu” vya mauaji ya albino kwa sababu za kishirikina,…

Continue Reading....

Salshia Isidore Atwaa Taji la Redd’s Miss Geita 2013

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Salshia Isidore Atwaa Taji la Redd’s Miss Geita 2013

Na Father Kidevu Blog, Geita MREMBO Salshia Isidore amechaguliwa kuwa Redd’s Miss Geita 2013 baada ya kuwashinda warembo wenzake 12 katika shindano lililifanyika Jumamosi Juni 1,  kwenye ukumbi wa…

Continue Reading....

Tanzania Kunufaika Zaidi na Bandari ya Mtwara na Tanga

Posted on: June 2, 2013 - jomushi
Tanzania Kunufaika Zaidi na Bandari ya Mtwara na Tanga

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es Salaam   IMEELEZWA kuwa Tanzania itanufaika zaidi kibiashara kupitia bandari ya Dar es salaam, Mtwara na Tanga kutokana…

Continue Reading....

Wake za Marais Wafundishwa Ujasiriamali Japan

Posted on: June 2, 2013June 2, 2013 - jomushi
Wake za Marais Wafundishwa Ujasiriamali Japan

  Na Anna Nkinda – Yokohama WAKE wa marais wa Afrika wamefundishwa jinsi ya kutengeneza bidhaa za mikono aina ya mapambo ya nywele na nguo zinatengenezwa…

Continue Reading....

Waziri Pinda ‘Avamia’ Kambi ya Wajenzi wa Kichina

Posted on: June 2, 2013 - jomushi
Waziri Pinda ‘Avamia’ Kambi ya Wajenzi wa Kichina

WAZIRI Mkuu Mizengo Jumamosi, Juni Mosi, 2013 alilazimika kufanya ziara ya ghafla kwenye kambi ya wajenzi wa barabara ya Kanazi-Kizi-Kibaoni ili kupata maelezo ni kwa…

Continue Reading....

Mahitaji ya Mkaa Tanzania Yateketeza Hekta Laki Nne Kwa Mwaka

Posted on: June 2, 2013 - jomushi
Mahitaji ya Mkaa Tanzania Yateketeza Hekta Laki Nne Kwa Mwaka

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Tanzania inapoteza kiasi cha hekta 400,000 za misitu kila mwaka kwa sababu ya ukataji miti unaochochewa na matumizi ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari