Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,256

Author: jomushi

Rais Kikwete Auzunishwa na Kifo cha Mzee Timothy Apiyo

Posted on: June 12, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Auzunishwa na Kifo cha Mzee Timothy Apiyo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa masikitiko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Mzee…

Continue Reading....

Warembo Redd’s Miss Kinondoni Wafanya Usafi Hospitalini

Posted on: June 12, 2013 - jomushi
Warembo Redd’s Miss Kinondoni Wafanya Usafi Hospitalini

   Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni Dokta Gunini Kamba (kulia) akiwa na mratibu wa shindano la Redd’s Miss Kinondoni 2013, Ssebo wakiwaongoza warembo mara…

Continue Reading....

Mama Salma Kikwete Katika Hafla ya Ukaribisho Marekani

Posted on: June 12, 2013 - jomushi
Mama Salma Kikwete Katika Hafla ya Ukaribisho Marekani

Continue Reading....

CCM Wapata Ugeni Kutoka Chama Cha Ukombozi Nchini Palestina

Posted on: June 12, 2013 - jomushi
CCM Wapata Ugeni Kutoka Chama Cha Ukombozi Nchini Palestina

Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akimlaki Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Tayaseer Khalid…

Continue Reading....

Bondia Patrick kuzichapa na Class

Posted on: June 12, 2013 - jomushi
Bondia Patrick kuzichapa na Class

BONDIA Patrick Anthony Kavako ‘Baunsa’ wa Morogoro ametamba kumchapa Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ wakati wa mpambano wao wa raundi nane utakaofanyika siku ya jumapili june…

Continue Reading....

Hali ya Mandela ni Mbaya Sana – Rais Zuma

Posted on: June 12, 2013 - jomushi
Hali ya Mandela ni Mbaya Sana – Rais Zuma

RAIS wa Afrika kusini Jacob Zuma, amesema kuwa nchi yote inazidi kumwombea Mzee Nelson Mandela ili apate afueni haraka. Rais huyo wa zamani amelazwa hospitalini…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari