Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,249

Author: jomushi

Polisi Yatuma Timu Kuchunguza Bomu Mkutano wa Chadema Arusha

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Polisi Yatuma Timu Kuchunguza Bomu Mkutano wa Chadema Arusha

KUFUATIA mlipuko wa bomu uliotokea katika mkutano wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuuwa watu wawili na majeruhi zaidi ya 60 katika mkutano…

Continue Reading....

Stars ya Tanzania Yala Kichapo Nyumbani, Yapigwa 4-2 na Ivory Coast

Posted on: June 16, 2013June 17, 2013 - jomushi
Stars ya Tanzania Yala Kichapo Nyumbani, Yapigwa 4-2 na Ivory Coast

LICHA ya Taifa Stars ya Tanzania kupata goli la mapema zaidi katika mchezo wao wa mechi ya kufuzu kucheza kombe la dunia mwakani nchini Brazil…

Continue Reading....

Dk. Hoseah Adai Serikali Imenifunga Mikono

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Dk. Hoseah Adai Serikali Imenifunga Mikono

MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hoseah, amefunguka na kueleza sababu za taasisi yake kushindwa kuwakamata walarushwa wakubwa…

Continue Reading....

Ugaidi Tena Arusha, Bomu Lalipuka Lajeruhi na Kuua

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Ugaidi Tena Arusha, Bomu Lalipuka Lajeruhi na Kuua

MKUTANO wa Chadema wa kumaliza kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani mjini Arusha, jana ulivunjika baada ya bomu kulipuka na kuua watu wanne na wengine…

Continue Reading....

UWT Yawafanyia Sherehe Viongozi wa Chama cha PLO

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
UWT Yawafanyia Sherehe Viongozi wa Chama cha PLO

Mwenyekiti wa Ujoma wa Wanawake Tanzaia (UWT), Sophia Simba akiwalaki Mjumbe wa Kamati Tendaji wa Chama Cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Jehad Abu Zead na…

Continue Reading....

Ukosefu wa Elimu ya Biashara Wawakwaza Wanawake EAC

Posted on: June 16, 2013 - jomushi
Ukosefu wa Elimu ya Biashara Wawakwaza Wanawake EAC

Na Baltazar Nduwayezu, EANA UFAHAMU wa mfumo wa biashara na sheria za forodha ni mahitaji muhimu kwa wafanyabiashara wanawake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari