Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,246

Author: jomushi

Vurugu Arusha; Wabunge Arfi, Lissu, Akunaay Watiwa Mbaroni

Posted on: June 19, 2013 - jomushi
Vurugu Arusha; Wabunge Arfi, Lissu, Akunaay Watiwa Mbaroni

WABUNGE wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu) wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko…

Continue Reading....

Wanafunzi Kidato cha Sita Wabebeshwa Mzigo wa Ualimu Sayansi Rombo

Posted on: June 19, 2013June 19, 2013 - jomushi
Wanafunzi Kidato cha Sita Wabebeshwa Mzigo wa Ualimu Sayansi Rombo

Na dev.kisakuzi.com, Rombo KITENDO cha upungufu wa walimu wa sayansi nchini hasa katika shule za sekondari zinazomilikiwa na serikali kimezidi kuibua changamoto maeneo mbalimbali nchi.…

Continue Reading....

TAARIFA FUPI YA UCHUNGUZI JUU YA MATUKIO YA MIMBA KWA WANAFUNZI WILAYA YA HANDENI, MKOANI TANGA

Posted on: June 18, 2013 - jomushi
TAARIFA FUPI YA UCHUNGUZI JUU YA MATUKIO YA MIMBA KWA WANAFUNZI WILAYA YA HANDENI, MKOANI TANGA

TAARIFA FUPI YA UCHUNGUZI JUU YA MATUKIO YA MIMBA KWA WANAFUNZI WILAYA YA HANDENI, MKOANI TANGA. UTANGULIZI Uchunguzi huu umefanyika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.…

Continue Reading....

Klabu ya Nchini Thailand Yasaka Wachezaji Tanzania, TFF Yatoa ITC kwa Mtanzania Kucheza Yemen

Posted on: June 18, 2013 - jomushi
Klabu ya Nchini Thailand Yasaka Wachezaji Tanzania, TFF Yatoa ITC kwa Mtanzania Kucheza Yemen

KLABU ya Thai Port Football ya Thailand inatafuta wachezaji nchini Tanzania kwa ajili ya kucheza mpira wa miguu nchini humo na katika nchi nyingine barani…

Continue Reading....

Ivory Coast, Taifa Stars Waingiza Mil 502, TFF Yapongeza Mashabiki

Posted on: June 18, 2013 - jomushi
Ivory Coast, Taifa Stars Waingiza Mil 502, TFF Yapongeza Mashabiki

MECHI ya mchujo ya Kombe la Dunia, Kundi C, Kanda ya Afrika kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Ivory Coast (The Elephants) iliyochezwa jana (Juni…

Continue Reading....

Mabondia Yohana na Matayo Kuzipiga

Posted on: June 18, 2013 - jomushi
Mabondia Yohana na Matayo Kuzipiga

KWA mara nyingine limeandaliwa pambano la ngumi la ki aina yake ni kati ya mabondia wakimya na wapole usoni na wasiopenda kabisa kuongea Yohana Robert…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari