Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,235

Author: jomushi

EOTF: Wanawake Wakiwezeshwa Wanawaza Kutokomeza Umaskini

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
EOTF: Wanawake Wakiwezeshwa Wanawaza Kutokomeza Umaskini

Na Belinda Kweka – MAELEZO WANAWAKE wakiwezeshwa kiuchumi na ikiwa ni pamoja na kupatiwa elimu ya ujasiriamali, kuepuka maradhi hatarishi na kufahamu haki zao katika…

Continue Reading....

Mpambano wa Ngumi wa Vunja Jungu…!

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
Mpambano wa Ngumi wa Vunja Jungu…!

KAA tayari kwa mpambano wa ngumi wa aina yake ambapo Juni 30, 2013 ikiwa ni wiki ya mwisho kabla ya mwezi wa ramadhan mpambano huo…

Continue Reading....

Watoto Yatima Kujumuika Katika Tamasha ‘Raha za Jana na Leo’

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
Watoto Yatima Kujumuika Katika Tamasha ‘Raha za Jana na Leo’

Watoto Yatima Kujumuika Katika Tamasha ‘Raha za Jana na Leo’   WATOTO Yatima wa Kituo cha Ngeze, (Ngeze Education Center) kilichopo maeneo ya Kinondoni kwa…

Continue Reading....

Sifa United Yaiadhibu Mtakuja 5-2 Airtel Rising Stars

Posted on: June 25, 2013June 25, 2013 - jomushi
Sifa United Yaiadhibu Mtakuja 5-2 Airtel Rising Stars

BAADA ya kubamizwa 3-1 na Makumbusho United siku ya Jumapili Sifa United ya Manzese jana ilisahihisha makosa yake na kuiadihbu Mtakuja Beach 5-2 katika michuano…

Continue Reading....

Marekani Yatoa Onyo Kali kwa Msafara wa Rais Obama Dar

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
Marekani Yatoa Onyo Kali kwa Msafara wa Rais Obama Dar

LICHA ya ujumbe wa Rais wa Marekani, Barrack Obama kutarajiwa kufikia katika hoteli kubwa zenye hadhi wakati kiongozi huyo atakapowasili nchini Julai Mosi mwaka huu,…

Continue Reading....

Wabunge Waridhia Bajeti ya Serikali

Posted on: June 25, 2013 - jomushi
Wabunge Waridhia Bajeti ya Serikali

BUNGE limepitisha Bajeti ya Serikali ya Sh18.2 trilioni iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa katika Bunge la Bajeti linaloisha mwishoni mwa wiki hii.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari