Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,219

Author: jomushi

Tenga Asema Hakuna Hila Kwenye Marekebisho ya Katiba

Posted on: July 9, 2013 - jomushi
Tenga Asema Hakuna Hila Kwenye Marekebisho ya Katiba

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Tenga amesema hakuna hila yoyote katika marekebisho ya Katiba kwa vile yametokana na maagizo ya…

Continue Reading....

Kiingilio Mechi ya Taifa Stars na The Cranes Shs 5,000/-

Posted on: July 9, 2013 - jomushi
Kiingilio Mechi ya Taifa Stars na The Cranes Shs 5,000/-

KIINGILIO cha chini katika mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Uganda…

Continue Reading....

Umoja wa Watanzania Ujerumani Kushiriki Tamasha la ‘Brüderschaft der völker’

Posted on: July 9, 2013 - jomushi
Umoja wa Watanzania Ujerumani Kushiriki Tamasha la ‘Brüderschaft der völker’

WATAYARISHAJI wa Festival ya ‘Brüderschaft der völker’ mjini Aschaffenburg, nchini Ujeruamani, wameuhalika Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU) kushiriki katika maonesho hayo ya utamaduni wa nchi mbalimbali…

Continue Reading....

Harusi ya Antony Mtavangu na Bi. Gema Temba Yafana

Posted on: July 9, 2013 - jomushi
Harusi ya Antony Mtavangu na Bi. Gema Temba Yafana

Continue Reading....

Baada ya Walimu Kugoma Kenya, Wanafunzi Wagida Pombe Baa

Posted on: July 8, 2013 - jomushi
Baada ya Walimu Kugoma Kenya, Wanafunzi Wagida Pombe Baa

POLISI wa Kenya wamewakamata zaidi ya wanafunzi elfu moja baada ya kupatikana wakiwa walevi mjini Nairobi wikendi hii. Polisi waliendesha msako katika baa anuai na…

Continue Reading....

Kazi ya Gesi Yetu ni Kufuta Umasikini – JK

Posted on: July 8, 2013 - jomushi
Kazi ya Gesi Yetu ni Kufuta Umasikini – JK

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa jukumu kubwa la gesi asilia nyingi iliyogunduliwa na inayoendelea kugunduliwa maeneo mbali mbali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari