Mtendaji wa kata ya Kivukoni, Renatus Ruhungu akizungumzia hatua yao ya kushirikisha wadau katika zoezi la kufanya usafi manispaa ya Ilala, ambapo amesema mwezi ujao…
Continue Reading....Author: jomushi
Mbondia Mtanzania Amtwanga M-Thailand kwa KO
BONDIA Mtanzania, Omari Kimweri ‘Lion Boy’ anaefanya shughuli zake nchini Australia amendelea kutamba katika nchi hiyo baada ya jana kumtwanga kwa KO ya raundi ya kwanza bondia…
Continue Reading....UTU Yaendelea Kupeperusha Vema Bendera ya Tanzania Kimataifa
UMOJA wa Watanzania Nchini Ujerumani (UTU) kwa kasi kubwa unaendelea kupeperusha vema bendera ya Tanzania huko Ughaibuni kwa kutumia nafasi zote wanazopewa nchi Ujerumani. Hivi…
Continue Reading....Thomas Mashali ‘Awatusi’ Mabondia Wenzake
BONDIA Thomas Mashali amewatusi mabondia wenzake Mada Maugo na Kalama Nyilawila kwa kuwafananisha na midoli na kuwakebehi kuwa si chochote wala lolote kwake. Hatua hiyo…
Continue Reading....Mwaliko kwa Wadau wa Elimu na Katiba Tanzania
RE: MWALIKO KUHUDHURIA NA KUSHIRIKI SEMINA MAALUMU YA WAZI YA KIJAMII KUHUSU KATIBA MPYA NA ANGUKO LA ELIMU NCHINI YA TAREHE 31 JULAI, 2013…
Continue Reading....Taifa Stars Yaangukia Pua CHAN, Yachapwa 3-1 Yatolewa
TANZANIA (Taifa Stars) imeshindwa kufuzu Fainali za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) kwa mara ya pili mfululizo baada ya Julai 27 mwaka huu kufungwa…
Continue Reading....