Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,173

Author: jomushi

Jukwaa la Serengeti Fiesta 2013 Lazinduliwa Rasmi Kigoma Leo

Posted on: August 17, 2013 - jomushi
Jukwaa la Serengeti Fiesta 2013 Lazinduliwa Rasmi Kigoma Leo

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Neylee akiimba kwa hisia kwenye jukwaa la tamasha la Serengeti Fiesta 2013,usiku huu kwenu uwanja wa Lake Tanganyika.  Sehemu ya…

Continue Reading....

Wakuu wa Nchi SADC Kumthibitisha Mtanzania Kuwa Katibu Mtendaji

Posted on: August 17, 2013August 17, 2013 - jomushi
Wakuu wa Nchi SADC Kumthibitisha Mtanzania Kuwa Katibu Mtendaji

WAKUU wa Nchi Wanachama wa Jumuia ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Agosti 17, 2013, wanatarajiwa kumdhibitisha Dk. Stergomena Tax wa Tanzania kuwa Katibu Mtendaji…

Continue Reading....

JK Asifiwa Kupigania Amani na Utawala Bora

Posted on: August 17, 2013 - jomushi
JK Asifiwa Kupigania Amani na Utawala Bora

RAIS wa Jamhuri ya Malawi, Joyce Banda amemwelezea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete kama mwanademokrasia na kiongozi hodari anayepigania amani…

Continue Reading....

Serengeti Fiesta Soccer Bonanza Mkoani Kigoma

Posted on: August 17, 2013 - jomushi
Serengeti Fiesta Soccer Bonanza Mkoani Kigoma

Continue Reading....

Foolish Age ya Lulu Kuzinduliwa Agosti 30

Posted on: August 17, 2013August 17, 2013 - jomushi
Foolish Age ya Lulu Kuzinduliwa Agosti 30

Msaani mwenye kipaji cha Hali ya juu nchini na Mwenye umri mdogo Elizabeth Michael “LULU”anatarajia kuzindua filamu yake ya Kwanza tokea alipotoka Gerezani, Filamu hii…

Continue Reading....

Msanii Mfuga Bundi Aeleza Namna Anavyowapenda Ndege Hao

Posted on: August 17, 2013 - jomushi
Msanii Mfuga Bundi Aeleza Namna Anavyowapenda Ndege Hao

MSANII na Kiongozi wa kundi la Ngoma Afrika Bend, Kamanda Ras Makunja ameeleza sababu ya kuwapenda ndege aina ya bundi na kuamua kuwafuga nyumbani kwake,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari